IBSCS
Member
- Aug 20, 2015
- 31
- 4
Habari?
Kama wewe ni mmoja wa wale wanaotafuta nafasi ya kusoma nchini Australia katika ngazi ya cheti, diploma, shahada, Uzamili na uzamivu tafadhali huu uzi ni wako.
Ni hivi, kuna baadhi ya Watanzania wamekuwa wakihangaika kutafuta nafasi za masomo nje ya nchi na kuishia kukosa kwa sababu kadha kwa kadha lakini kubwa ikiwa ni kukosa TAARIFA sahihi.
Kinachosikitisha zaidi ni pale hata wale ambao wanauwezo wa kujilipia karo (tuition fee) kushindwa kupata udahili (admission) sababu ya ama kutokujua vizuri namna ya kufanya maombi ya udahili ama kutokujua ni wapi aanzie kufanya maombi na kwanini.
Katika kusaidia Watanzania (na wa mataifa mengine) wanaotafuta nafasi za masomo Australia kampuni ya INTERNATIONAL BUSINESS AND STUDENTS CONSULTING SERVICES ipo kwa ajili yao.
Kampuni yetu inashughulikia kuwaombea udahili (admission) wanafunzi wanaohitaji kusoma (diploma, bachelor, masters, PhD) na wengi wa wateja wetu ni wale wenye mpango wa kujilipia karo. Kampuni yetu haishughuliki na kuombea ufadhili wanafunzi lakini inatoa ushauri bure kwa wanafunzi wanaohitaji taarifa (information) kuhusu ufadhili. Kama ikitokea mwanafunzi anayetaka kuomba udahili kupitia kwetu na kisha aombe ufadhili mwenyewe anakaribishwa kuwasiliana nasi.
Kama kuna mwanafunzi anayetaka kuomba ufadhili wa kusomea masters ama PhD tafadhali apitie hizi links zifuatazo:
1. Australian Postgraduate scholarships Search Engine
2. International Postgraduate Research Scholarships (IPRS)
3. Australia Awards for Tanzanian Students
Itembelee kampuni ya IBSCS hapa http://www.ibscservices.com/
Tuandikie kupitia barua pepe hii: admin@ibscservices.com
Kila la heri
IBSCS
Kama wewe ni mmoja wa wale wanaotafuta nafasi ya kusoma nchini Australia katika ngazi ya cheti, diploma, shahada, Uzamili na uzamivu tafadhali huu uzi ni wako.
Ni hivi, kuna baadhi ya Watanzania wamekuwa wakihangaika kutafuta nafasi za masomo nje ya nchi na kuishia kukosa kwa sababu kadha kwa kadha lakini kubwa ikiwa ni kukosa TAARIFA sahihi.
Kinachosikitisha zaidi ni pale hata wale ambao wanauwezo wa kujilipia karo (tuition fee) kushindwa kupata udahili (admission) sababu ya ama kutokujua vizuri namna ya kufanya maombi ya udahili ama kutokujua ni wapi aanzie kufanya maombi na kwanini.
Katika kusaidia Watanzania (na wa mataifa mengine) wanaotafuta nafasi za masomo Australia kampuni ya INTERNATIONAL BUSINESS AND STUDENTS CONSULTING SERVICES ipo kwa ajili yao.
Kampuni yetu inashughulikia kuwaombea udahili (admission) wanafunzi wanaohitaji kusoma (diploma, bachelor, masters, PhD) na wengi wa wateja wetu ni wale wenye mpango wa kujilipia karo. Kampuni yetu haishughuliki na kuombea ufadhili wanafunzi lakini inatoa ushauri bure kwa wanafunzi wanaohitaji taarifa (information) kuhusu ufadhili. Kama ikitokea mwanafunzi anayetaka kuomba udahili kupitia kwetu na kisha aombe ufadhili mwenyewe anakaribishwa kuwasiliana nasi.
Kama kuna mwanafunzi anayetaka kuomba ufadhili wa kusomea masters ama PhD tafadhali apitie hizi links zifuatazo:
1. Australian Postgraduate scholarships Search Engine
2. International Postgraduate Research Scholarships (IPRS)
3. Australia Awards for Tanzanian Students
Itembelee kampuni ya IBSCS hapa http://www.ibscservices.com/
Tuandikie kupitia barua pepe hii: admin@ibscservices.com
Kila la heri
IBSCS