Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
u knw ur very luck to have me by ur side ukipata mshahara tunamalizia bar,nakuacha unacheza cheza na vitoto vinavyojipendekeza kwako,n for sure I dnt mind coz unapata alot of experience n thats make uor love grow sronger,love you my sugar banana n sweeety potato
Sasa hizi tabia unazitoa wapi?
anyway tujifunze kichina maana wachina mjini kibao.
Na huyu AK ni nani kwani?tabia zipi jamani?kumsifia mume wangu pj au?inawachoma sana?(samahani kama nimewakwaza)
Na huyu AK ni nani kwani?
Jamani nilishachangia lakini nimerudi tena maana kuna kitu nimekumbuka baada ya kusoma alichochangia kaizer ni kweli hao ni wanaume chipolopolo kama usemavyo kaka yangu maana kama kweli watu mmeamua kuwa kitu kimoja inakuwaje tena watu wa nje waweze kuwatawala kwenye mawazo yenu? Wao wanashindwa watakuja kuwezaje yakwenu? USHAURI NI USHAURI cha muhimu hauvunji sheria ya nchi, na sio kwenda kuiba! Tunaweza kushauri jamani!
wifi zangu mna mamboooo,mshikaji tu,(huwa ananipa poket money pj akisahau)
eeeeeh naona au naonewa....generator limeathiri masikio na sasa naona athari zaelekea machoni......
hata ulipoandika na penseli nimeona kweli??
Twinuska rememba wer sisters frm another maza!dnt break ze promise(keep it down low)
mmmmh!!! don wanna see this stuff.......
ntaugua vichomi ndo tatizo
Lumbe mbona sikuelewi basi uashuri wake bomba ni kama mama yako
lets go home B! hapa utakuja kuona hadi visivoonekana
wakubwa wapo kazini...umeshaleta unga?
tehe tehe!wifi zangu mna mamboooo,mshikaji tu,(huwa ananipa poket money pj akisahau)
tehe tehe!
Unakumbuka ule wimbo wa wale jamaa wa Arusha walikuwa wanatembea na gitaa kila mahali, nimewasahau hata jina. HAINA NOMA NI NI MSHKAJI TUU!!
PJ unaliwa hapo, usikubali ushauri wa my wifey wako wa JF
Angalia familia nyingi mbovumbovu na ambazo hazina mwelekeo ni zile ambazo baba anaamua tu kila kitu bila kumshauri mkewe. Kushauriana "both sides" ni lazima kwa maendeleo ya familia.