Unasemaje kuhus hii picha?

Unasemaje kuhus hii picha?

Mkuu chamakh Ni Kweli huyu Tai ni Nchi za Ulaya Magharibi

Uingereza,Ufaransa,Italy,Ujerumani, na Amerika wanakuja kwa huyo Mtoto ni Mfano wa nchi za Bara la Afrika njaa tupu wanakuja na

vijimisaada vya uongo na kweli kisha wakachukuwa dhahabu,Uranium, Gas, Almasi na Madini yote wakisha chukuwa wakatuacha sisi

Wa-Afrika na njaa yetu ipo pale pale. Wanatusaidia kwa uongo kisha wanatuuwa kwa Maradhi ya AIDS Ukimwi Ugonjwa Wa Saratani

na Ugonjwa WA Kisukari tunakufa huku wanatucheka jamani tuamke na hivyo viji msaada vya Pumba.
Mkuu umenikumbusha tukio la kuanguka kwa ghorofa karikaoo, kwa mara ya kwanza tokea sikumbuki lini vyombo vya Kimagharibi Aljazeera na Sky News wameripoti tukio.

Sina hakika kama Tanzania hatujawahi kuwa na matukio mazuri yaliyohitaji coverage yao.
 
Mkuu chamakh Ni Kweli huyu Tai ni Nchi za Ulaya Magharibi

Uingereza,Ufaransa,Italy,Ujerumani, na Amerika wanakuja kwa huyo Mtoto ni Mfano wa nchi za Bara la Afrika njaa tupu wanakuja na

vijimisaada vya uongo na kweli kisha wakachukuwa dhahabu,Uranium, Gas, Almasi na Madini yote wakisha chukuwa wakatuacha sisi

Wa-Afrika na njaa yetu ipo pale pale. Wanatusaidia kwa uongo kisha wanatuuwa kwa Maradhi ya AIDS Ukimwi Ugonjwa Wa Saratani

na Ugonjwa WA Kisukari tunakufa huku wanatucheka jamani tuamke na hivyo viji msaada vya Pumba.

umemsahahu huyo aliyekuja na mikataba kumi na saba juzi tu.anaitwa CHINA.
 
kama huyo ndege angekuwa CCM basi angeishia kumrarua huyo chalii na kummalizia mbali
 
Unasaemaje kuhusu hii Picha? Ipe maneno Picha yangu hii.......

644349_522888337749481_1619062429_n.jpg


Ndege na wanyama wana upendo kuliko hata binadamu
 
Kwanza alitaka kumla
Ila Mtoto nadhani alikuwa anasali hapo

Muujiza wa mungu ukatendeka
 
This is what we call "Angelic Support". Mungu hutuma malaika wake kwa njia mbalimbali kufanya kazi kwa niaba yake. Mfano ni Nabii Eliah, alihudumiwa na kunguru kama huyu mtoto. Big UP my GOD, My Dad, my Savior
 
huyo ni ndege mwenye nia mbaya na huyo mtoto, amemuona kachoka, anampa maji machache apate nguvu ili amwamini ila mwisho wa siku ndege atamla tu huyo mtoto

kwangu naweza kusema ni hito ni Taashira(Ni matumizi ya lugha ya ishara kuwakilisha ujumbe fulani. Jina au kitu fulani kinatumika kumaanisha kitu kingine chenye uhusiano na kile kilichotumiwa-Symbolism) na huyo tai ni kama mabeberu-nchi za magharibi wanaokuja kutusaidia waafrika na nchi zenye dhiki kwa misaada midogo ya madawa na neti za mbu lakini m,wishoni wataondoka na mali nyingi zaidi-madini, gesi n.k- na mwishowe tutakuwa tumeliwa

hivi ndivyo ninavyoidadavua hiyo picha

Umenena vyema.
 
Hakuna kiumbe kilichoumbwa na Mungu bila akili. Huyu ndege (tumbusi - vulture kwa kiingereza) alifikiri mtoto kafa ila baada ya kumsogelea akaona ni njaa tu inamsumbua ndipo akamletea maji/uji kuamsha tumbo ili apate nguvu aendelee na maisha yake. Big up mheshimiwa waziri, picha imeleta tafsiri nyingi sana kichwani mwangu.
Hakuna, hilo dege linamlisha/linamnyesha mtoto ili angalau anenepe nenepe apate kumla akiwa amenona. Hivyo hivyo ndo watufanyavyo mafisadi..... anakuletea vimisaada kidogo wakati wa uchaguzi, halafu baada ya hapo anatorosha wanyama 104... akiwemo TIGWA, anaitwa hivyo kwa vile katoroshwa lakini kama angebaki TZ angeitwa TWIGA
 
Hakuna, hilo dege linamlisha/linamnyesha mtoto ili angalau anenepe nenepe apate kumla akiwa amenona. Hivyo hivyo ndo watufanyavyo mafisadi..... anakuletea vimisaada kidogo wakati wa uchaguzi, halafu baada ya hapo anatorosha wanyama 104... akiwemo TIGWA, anaitwa hivyo kwa vile katoroshwa lakini kama angebaki TZ angeitwa TWIGA



Kama ni hivyo basi kazi tunayo watanzania kunako 2015.
 
Mh!mheshimiwa waziri tena?


Yeah ni mheshimiwa waziri mteule ila si malaya (mbunge). Nataka nimpe uwaziri wa afya kunako 2015 baada ya kushinda uchaguzi. Vipi kuna shida? Kama una ushahidi wa maovu na wasifu wake zaidi basi usisite kuja ofisini kwangu hapa Dar. Usiogope hutotajwa jina lako na shillingi milioni moja utapata kwa kutusaidia.
 
Personally ninaweza sema kuwa vulture ingawa huwa anakula mizoga, kwa kuona mtoto ana hali hiyo ingali kuna maji/chakula karibu, akafeel pity na kumletea maji/chakula.
Africa nchi jirani kuna chakula na maji na watu wengine, wanakula na kusaza wakati wengine hawana chakula wala chochote cha kunywa na hakuna wanao dare kuwasaidia wengine but kutazama matumbo yao na familia zao tu while they have enough! hatujitoi kuwasaidia wahanga wa majanga mbalimbali.
Kwa roho hii tuliyojijengea, itafika mahali hata vulture (ambaye huwa anafurahi kuona kiumbe kinakaribia kufa) ataingiwa na huruma na ku do something while we are too busy with our own selfish lives!
Unasaemaje kuhusu hii Picha? Ipe maneno Picha yangu hii.......

644349_522888337749481_1619062429_n.jpg
 
kwa hakika nafikiri huyo ni china ,marekani na wenzao wkimfariji mwafrika kwa bakuli la maji (vifuko vya dola) huku wakibeba kila kinachotakiwa kwao na kuacha mifupa tu kwa wasidiwa,.
 
Yeah ni mheshimiwa waziri mteule ila si malaya (mbunge). Nataka nimpe uwaziri wa afya kunako 2015 baada ya kushinda uchaguzi. Vipi kuna shida? Kama una ushahidi wa maovu na wasifu wake zaidi basi usisite kuja ofisini kwangu hapa Dar. Usiogope hutotajwa jina lako na shillingi milioni moja utapata kwa kutusaidia.
Teh teh teh!sawa mkuu!
 
Unasaemaje kuhusu hii Picha? Ipe maneno Picha yangu hii.......

644349_522888337749481_1619062429_n.jpg

Huyo ndege anawakilisha CCM, huyo mtoto ni mlalahoi anayepiga kelele na kutapatapa kwa njaa. Na kwenye hilo bakuli kuna sumu ya kum RIP mapema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom