Unasemaga asante baada ya tendo la ndoa?

Unasemaga asante baada ya tendo la ndoa?

Nikimaliza tu huwa nasema I love you na hujibu kwa sauti ya chiniiii I love you too baby
Basi hapo nachomoa naelekea kuvua condom maana cjaoa bado na nikiwa cjaoa cfanyi bila condom labda kwa vipimo maalum
 
Kwakweli huwa sielew maana huwa nakuwa kama mtu aliyechanganyikiwa sasa sikumbuki huwa ni maneno gani namwambia wa ubavu ngoja leo jioni nitamuuliza then nitakupatia jibu sahihi
Tunasubiri majibu
 
Mi naambiwaga asante katikati ya mgegedo...na mwishoni wadhungu wakishachomoka,..tukiwa tunapiga story
 
Wakati akisubiri kisses moto moto na mipapaso inaendelea na dushe linaendelea trip nyingine ya nguvu.

kwa hiyo hata kufuta hilo dudu hufuti? me napenda ukimaliza usubiri kidogo kama dakika mbili ndiyo utoe si unakojoa unaruka kama ulienda kutupa uchafu jalalani unakimbia sababu ya harufu kali ya uchafu .....
 
Baadhi ya wadada/wanawake wana "fake orgasm" ili kuwaridhisha wanaume. coz tafiti zinaonesha 90% hawaifiki kabisa sasa utakuta wanashukuru kwa ku "fake" tu kama vile jamaa amemkuna saaaaana. Kumbe hata hamna kitu. Ni mawazo yangu tu. Toa yako usijaji yangu
 
Back
Top Bottom