Unapoulizwa Uzoefu wako

Unapoulizwa Uzoefu wako

babo

Senior Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
194
Reaction score
23
Naomben kuuliza uzoefu wa kaz,wew ndo umetoka chuo unatafta kaz hapohap unaulizwa unauzoef wa kaz,ss uzoefu huo utaupata au kuna vyuo vya uzoef wa kazi,msaada
 
uzoefu wako kama mwanachuo/fresher ni training zako zile ambazo ulizifanya ukiwa chuo zaidi ya hapo hakuna!
 
Poa mkuu,ila samu taim huwa wanhitaj sehem ulio wah kufany kaz,lakn jua kua kuna makampun mengin hayatoi vyet pale unapo acha kaz,je hapo huwa inakuwaje
 
Poa mkuu,ila samu taim huwa wanhitaj sehem ulio wah kufany kaz,lakn jua kua kuna makampun mengin hayatoi vyet pale unapo acha kaz,je hapo huwa inakuwaje
Uzoefu wa kazi sio lazima iwe umeupata baada ya chuo, wanamaanisha kwamba utamuhakikishiaje muajiri wako kwamba hafanyi makosa kukuajiri, pia uzoefu wa kazi hata field na part-time zinahusika sana hapo.
 
Asant mkuu kwa ushauli wako
 
Na wengine hawauliziagi uzoefu ila wanakupa probation period hapo ndo wanakuchek kua unaweza ku deliver ama la.
 
Back
Top Bottom