Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Muuza chupiha ha ha huyo uliyenaye anafanya shughuli gani
Muuza chupiha ha ha huyo uliyenaye anafanya shughuli gani
ha ha ha we muhongo unataka kupandisha nyg za watu tuMuuza chupi
Eeh makubwa haya..chupi inapandisha nyege!!🙄ha ha ha we muhongo unataka kupandisha nyg za watu tu
Si unajua lugha ya picha, picha inaenda kusomeka kwenye ubongo...na ubongo unatafsiri,ukishatafsiri unaathiri baadhi ya maeneo. Ila ukweli nyie mabinti mnapenda watu wenye hadhi...utajaribu kujitetea hapa ila ukweli unabaki palepale.Eeh makubwa haya..chupi inapandisha nyege!!🙄
Ila ndiyo kazi yake
Ila ukweli maana muuza chupi wangu kwangu anahadhi eti..tena kuubwaaa.Si unajua lugha ya picha, picha inaenda kusomeka kwenye ubongo...na ubongo unatafsiri,ukishatafsiri unaathiri baadhi ya maeneo. Ila ukweli nyie mabinti mnapenda watu wenye hadhi...utajaribu kujitetea hapa ila ukweli unabaki palepale.
Haya tupe ushuhuda ili wengine tujifunzeIla ukweli maana muuza chupi wangu kwangu anahadhi eti..tena kuubwaaa.
Kwa nini huwa unasema hivyo?Mimi huwa nasema kazi yangu ni dalali full stop
Tafuta hela kwanza bila hivo utakua na mahusiano ya shida shida tu.labda mwanamke akupende sanaUkiwa uko kwenye mchakato wa kuanzisha mahusiano, na ikatokea mmoja wenu anakuuliza unafanya kazi gani? Moja kwa moja jua huyo anataka uhusiano wenye faida hasa wa kipesa na si mahusiano ya shida na raha.
Ni vizuri zaidi unapotafuta mwenzi wa maisha hata kama kiuchumi uko vizuri jaribu kuwa kama choka mbaya ili uweze kumpata mtu sahihi lasivyo utapendewa vitu vyako na hivyo vitu vikiisha kunakuwa hakuna mapenzi tena.
Mwingine anakuuliza hivyo wakati yeye hana kazini sawa kuuliza kazi unayofanya sasa yy labda awe nayake maana kujua ajira yako au shughuli zako sio mbya sana maana you never know kila hatua dua
Kwa nini huwa unasema hivyo?
Yaaan ile muvi hatareee sana na inafundisha japo kibongp bongo hamna mtu anaeweza fanya vileKwa mfano nikimwambia hiyo manzi,kuwa Mimi msukuma mikokoteni atakua hanipendi kwa kuwa msukuma mikokoteni?
Inanikumbusha bongo move moja alicheza cheki budi inaitwa mapito.inahusu mada hapo juu.