Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Vitabu vitakatifu, vinasema...kamwe huwezi mfanyia mwenzio fitina na isikurudie.
Kumbukeni malipo ni hapa hapa duniani. Kama sio kwako ni kwa watoto wako.
Enyi vijana mnaompigania Mbowe; vijana masikini mliopata elimu ya mkopo wa HESLB,
Msio na Ajira rasmi na nzuri, mlioamua kutafuta ugali kupitia siasa. Sikilizeni haya:
-Siasa sio mbaya, ila ukiifanya vibaya ni laana kwako na kizazi chako.
-Piganieni huduma bora, piganieni raslimali za nchi yenu katu msimpiganie mtu.
Kumbukeni MBOWE ni tajiri ana pesa za kutosha, familia yao ina pesa...vipi kuhusu wewe na familia yako?
Mnaolipwa kutukana, kuzusha kumbukeni mtalipwa.
Wiki hii kuna mtu atalipwa, wiki ijayo pia, na itaendelea hivyo siku zote.
Kumbukeni malipo ni hapa hapa duniani. Kama sio kwako ni kwa watoto wako.
Enyi vijana mnaompigania Mbowe; vijana masikini mliopata elimu ya mkopo wa HESLB,
Msio na Ajira rasmi na nzuri, mlioamua kutafuta ugali kupitia siasa. Sikilizeni haya:
-Siasa sio mbaya, ila ukiifanya vibaya ni laana kwako na kizazi chako.
-Piganieni huduma bora, piganieni raslimali za nchi yenu katu msimpiganie mtu.
Kumbukeni MBOWE ni tajiri ana pesa za kutosha, familia yao ina pesa...vipi kuhusu wewe na familia yako?
Mnaolipwa kutukana, kuzusha kumbukeni mtalipwa.
Wiki hii kuna mtu atalipwa, wiki ijayo pia, na itaendelea hivyo siku zote.