Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kumiliki silaha kuna madhara yake makubwa sana kwa mmiliki. Wengi hujiua ama kuua bila kukusudia!
Kwanini unamiliki silaha mfano bastola/ pistol?
Lengo ni kumtishia mharifu au lengo ni kuua mharifu ?
Ikitokea unamiliki silaha kihalali na umemuua 'unayemhisi' ni mbaya wako je, hakuna kesi hapo au ni shida ?
Kwanini unamiliki silaha mfano bastola/ pistol?
Lengo ni kumtishia mharifu au lengo ni kuua mharifu ?
Ikitokea unamiliki silaha kihalali na umemuua 'unayemhisi' ni mbaya wako je, hakuna kesi hapo au ni shida ?