Unanipa shilingi ngapi?

Unanipa shilingi ngapi?

Sasa si bora umuite ambaye ni biashara yake rasmi na mkikubaliana anakuja kizazi?

Kwanza wanaouza utamu anachotaka ni ile pesa yake mliyokubaliana tu vingine ni mwanaume mwenyewe afanye kama bonus tu yani chakula na vinywaji hata usipofanya hivyo yeye wala hana tabu anakunja mshiko wake tu.

Siyo lidada uko nalo full time mnakula shangwe wote, laki mbili mmekata wote anapiga desperado kama maji halafu muda wa kumbinuwa akuulize unampa sh ngapi? hata Mimi nakutimuwa on the sport na nafanya replacement muda huohuo.

Mwanaume yeyote anayejitambuwa anajuwa wajibu wake ni nini.
Sure mkuu,,,haya haya ya mtaani, mnakaa wote mnaenjoy, vibomu vya hapa na pale Kama Kama unamsapoti, alafu siku linakuambia unanipa sh ngapi ! Stimu inakata kabisa
 
Ndio maana yake
Af tuone hasara kwa nani hapo
Ikibidi tunajichukulia Sheria mkononi ! Lakini na nyie si mnaenjoy ? Mnatubania as if na nyie hamuenjoy au hamna haja
 
Sure mkuu,,,haya haya ya mtaani, mnakaa wote mnaenjoy, vibomu vya hapa na pale Kama Kama unamsapoti, alafu siku linakuambia unanipa sh ngapi ! Stimu inakata kabisa
Kuliko kutumia na mwanamke mjinga asiyejielewa, request utamu online tu kama ubber na unafanyiwa delivery na bonus ya Masaji juu.
 
Au unanipa zawadi gani? Ndio msemo maarufu wa wadada siku hizi, ukimzoea kidogo tu, ukaonyesha interest ya kutaka utelezi utakumbana na hiyo kauli, plus vibomu visivyoisha. Mtaaani pagumu Sana wanauza indirect.

Binafsi nikikutana na mdada wa hivi hata Kama mzuri Sana huwa nampotezea haraka Sana, labda Nina tatizo sijawahi kwenda kununua wale wanaojipanga.

Mwanaume unaejielewa huwezi kulala na mwanamke usimpe chochote kitu, au ile umezoeana nae huduma anakupa lazima uwe walau unamsapoti sapoti, hii ananiambia kabisa tubagain Kama nanunua nyanya imenishinda!
Kama pesa huna achana na hawa wadada warembo tafuta sura konzi wao hua hawaombi pesa na wakipenda wamependa
 
Kuliko kutumia na mwanamke mjinga asiyejielewa, request utamu online tu kama ubber na unafanyiwa delivery na bonus ya Masaji juu.
Unampa chake unapita hivi, hakuna stress
 
Kama pesa huna achana na hawa wadada warembo tafuta sura konzi wao hua hawaombi pesa na wakipenda wamependa
Tutawala na pesa hatuwapi, utamu si wote tunapata ?
 
Back
Top Bottom