Kizazizi cha doti.com 😂😂Wavulana wa humu wakijikwaa wanapiga picha kisiki na kukipost mitandaoni.
Wanadeka sana
Kizazizi cha doti.com 😂😂Wavulana wa humu wakijikwaa wanapiga picha kisiki na kukipost mitandaoni.
Wanadeka sana
Umenielewa sema tu unataka ligi ! Naposema malayer Ni wale professional Wana machimbo yao na ndo kazi inayowaweka mjini,, kule wanajipanga wanaume wanaenda wanachagua Kama vile maembe yapo sokoni ama gengeni !Malayer ina maan wao hawaishi mitaani?!
Mega kiselaKuna pisi kali hapa inasoma IFM inanililia niipe hela japo 50k tuu , nime ipromise ijumaa ,, so najipanga niipe ijumaa najua watakuwa likizo fupi , the. Naila. Kisela......nyama yake
Ndo Hali halisiHii tabia huwa inanikela sana
Hiyo ni business kama zingine tu, mdada ana haki ya kuuliza ili afanye cost benefit analysis kabla hajatanua miguu😁Jibu lipo hapo kwenye "mtaani pagumu" kama unacho mpe tu au muoe kabisa
Asante kwa kunielewesha vzuriUmenielewa sema tu unataka ligi ! Naposema malayer Ni wale professional Wana machimbo yao na ndo kazi inayowaweka mjini,, kule wanajipanga wanaume wanaenda wanachagua Kama vile maembe yapo sokoni ama gengeni !
Nikisema Hawa wa mtaani namaanisha wanat***mbeka ila sio professional malayer,,, Wana kazi zao zinazowapa rizk za kila siku ! I hope umenielewa japo kidog