Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
HOPE DIES LAST
Hayawi hayawi yamekuwa. Wengine walitucheka ila ninaamini kuwa JF tumechangia Dr. Slaa kubadili mawazo na kugombea. Asanteni wote waliojiandikisha hadi namba 95. Ila sasa lazima MJE wengi kuunga mkono na IDADI yetu iwe kubwa ya kutisha. Nina imani sasa kufika zaidi ya 1,000 hadi mwezi ujao mwishoni. Na hawa 1,000 wataenda kutengeneza wengine walau 20 kila mmoja.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
1.Dr. Slaa 2.MKANDARA 3.King of kings 4.Masanilo kugema 5.Fidel80
6.Bht 7.Tanzania 8.Ndege ya Uchumi 9.Jiwe 10.Jakathesi
11.Technician 12.Kilembwe 13.Ndjabu Da Dude 14.Bollo Yeng 15.Selous
16.Nyamizi 17.Mfwatiliaji 18.Sikonge 19.Ben 20.Lorah
21.Chief 22.Alpha 23.Malunde-Malundi 24.Muhindi 25.Nanu
26.Betina 27.Baija Bolobi 28.Epigenetics 29.Member 911 30. Mlalahoi
31.Mag3 32.Nndondo 33.Tai Ngwilizi 34.Sn2139 35.Shalom
36.Mc 37.Firstlady1 38.Henge 39.Nemesis 40.Mchili
41.Ngambo Ngali 42.Positive Thinker 43.Advocate Jasha 44.Zhule 45.Araway
46.Pasco 47.Mbu 48.The Invincible 49.Vivian 50.Daughter
51.Deo 52.Holowane 53.Kingi 54.Tzpride 55.Mzee Punch
56.Kiby 57.Mtangi 58.Birigita 59.Rwabugiri 60.Suzzie
61.Omutwale Kanyigo 62.BabaDesi 63.Bullet 64.Kinya 65.Mwasi
66.Geza ulole 67.Tuandamane 68.Dingswayo 69.Kitia 70.Kiwi
71.Kodabosi 72.Cammory 73.Babu M 74.Wa Mjengoni 75.Mzawa Halisi
76.Kungurumweupe 77.Njilembera 78.MpigaFilimbi 79.Mageuzi1992 80.Kilemi
81.Kwame Nkrumah 82.Carthbertl 83.Mageuzi1992 84.Kamende 85.MJM
86.Allydou 87.Original Pastor 88.Nono 89.Isaya Mwita 90.Mfalme
91.Saitama Kein 92.Pilato2006 93.Augustine Moshi 94.Kipipili 95.Masikini Jeuri.
96.Mawazotu 97.QuadratJ 98.Kisoda2 99.Tumain 100.Jack Beur
101. Mnene1 102.PayGod 103.Mzalamo 104.Anaruditena 105.ncha
106.Mgalanjuka 107.Mganyizi 108.Ngorunde 109.Nyamayao 110.Kamaka
111.Kingi 112.
Tumeshafika 90 huraaa!!!!!, lengo ni 100 hadi mwisho wa mwezi.
(Andika jina lako tu na mie nitaongeza kwenye listi)
Don't underestimate the people, JK is beatable!!
Hili ni swali zito, nani asimame na JK? Dr Slaa akisimama atakuwa na mengi tu ya kutamka mbele ya watanzania ya kumfanya Kikwete angalau atoke kwenye comfortable zone alipolala usingizi na kujua kwamba yeye sio mmliki wa hii nchi.