Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
baija bolobi
Kama ulikuwa na shida ya kujadili mada ya muungano ungekuja kule, unchokionyesha hapa ni kuwa ukweli umekuchukuza, siwezi kukusaidia. Aliyesema kuwa Karume hajuwi kingereza si mimi ni Prof. Shivji, ambaye silingani naye hasa na masula ya wapi Karume alitokea yalizuka ndani ya mjadala wenyewe na sikuyaleta mimi, nakushangaa unamsemea Dr. Slaa hapa JF wakati yeye ni memba, na ameshasema kuwa hana mpango wa kugombea urais, wanaompakazia ni CCM wanaotaka kuwachanganya wapiga kura wake. Labda wewe na hao wenzako hapo juu unaowaorodhesha ndiyo hao CCM wenyewe aliowasema Dr. Slaa. Mimi nimeleta mzaha tu kwa kuwa hii thread imekaa kimzaha mzaha, provided, kuwa msimamo wa Dr. Slaa unajuulikana na hakuna anayeshughulika tena.QUOTE=Sikonge;900806] Siyo lazima uchangie kila kitu. Nilivyoona unajadili swala la Muungano nikafikiri una upeo mkubwa sana ila ghafla yakaanza ya Karume alikuwa hajui kusoma, hajui Kiingereza (Mmalawi na baharia huyoo hajui Kiingereza) na maswala mengine, nimeanza kukufahamu kwa ukaribu. Endelea kujifunua. Ila jambo moja tu ni kuwa kama Wanaotaka UHURU wa Zanzibar watu wenyewe ndiyo kama nyie, basi kweli naweza kukubaliana na Nyerere kuwa "nyie watu jamjakomaa kujitawala". Hebu onyesheni kukua basi kidogo hata kwenye majadiliano ya kawaida kabisa.
Mimi nimeleta mzaha tu kwa kuwa hii thread imekaa kimzaha mzaha,
Baada ya kujiandikisha what next?
Hongera Dr. kwa kugundua mapema mpango wa sisiem lakini waache waendelee wewe endelea na mipango yako.
Ulitakiwa ujuandikishe jina lako tu na au ujiondoe kimya kimya kwenye thread. Huoni umepoteza muda zaidi kwenye kuandika maneno hayo zaidi ya jina tu? Wiki lijalo, hao watakaokuwa wamejiandikisha, ntawaomba Mods wamtumie RASMI kwenye email yake ingawa nafahamu kuwa na yeye yuko hapahapa. Ungelisoma juu Mag3 na Shalom walivyochangia, ndiyo ungelielewa maana ya hii kitu. Kuna siku moja Mungu atakujalia na wewe uelewe.Hizi ni kampeni zisizo na kichwa wala miguu, mtu mwenyewe hataki, halafu tunapoteza muda kijiandikisha majina, then tunajiita greater thinker, how?