Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,130
- Thread starter
- #21
What is the future?
Unaweza kumwacha mtu hata kama unampenda sana, tena kwa mbwembwe nyingi kulingana na sakamstansezi.
Sasa kama maumivu ya kumkosa(miss) yakiwa makubwa kuliko kosa alilofanya awali usimrudie? Samtaims unamrudia mtu kumkumbusha kuwa nilikuwa nakupenda, kama uko tayari tulisongeshe kama hauko tayari poa, ya nini uishi na duku duku la kwamba labda naye bado ananihitaji? Kwani kurudi na kulia lia kuna gharama gani? Kama ni machozi nikinywa glass moja tu ya maji machozi yanarudi.
Kuna wengine wanarudiana na wanaishi happly after ever (Fairy Tale), mapenzi hayana formula.
Kama vipi soma signature ya Bishanga utaelewa zaidi.
Nimesema unamwacha bila kosa lolote alilokufanyia,pengine ni tamaa