Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,130
"BIG RESULTS NOW"
LETS REASON CORRECTLY
katika mahusiano wapenzi hupendana sana.
Kila mmoja anaheshimu hisia za mwenzake.
CHA AJABU HUTOKEA MMOJA KATI YAO anaamua kumuacha mwenzi wake tena bila kujali maumivu makali anayomsababishia mpenzi wake.
MWANZO UNAMUONYESHA MTU,upole,upendo,ustaarabu,unyenyekevu,ukarimu nk.
Naye anakutendea wema uleule.
UNAAMUA KUMUACHA MPENZI WAKO bila kosa lolote TENA KWA KILA AINA YA jeuri,dharau,matusi nk.
BAADAE SANA.
some weeks or some months or even after years.
UNARUDI UKILIA UNATAKA USAMEHEWE,tena kisingizio ni SHETANI(IBILISI) hata kama kanisani/msikitini huendi.
WHAAAT?lovers reason critically kabla ya kufanya maamuzi,TAMAA NI MBAYA.
ridhika na anaeheshimu hisia zako.
MAANA INATIA HURUMA KUMWACHA MTU KWA MBWEMBWE ALAFU UNAKUJA KUMLILIA haisidii na utakuta alishapoteza hisia kwako na mkirudiana haiwezi kuwa kama zamani mana ni kama kulazimisha hisia wakati zimeshapotea
LETS REASON CORRECTLY
katika mahusiano wapenzi hupendana sana.
Kila mmoja anaheshimu hisia za mwenzake.
CHA AJABU HUTOKEA MMOJA KATI YAO anaamua kumuacha mwenzi wake tena bila kujali maumivu makali anayomsababishia mpenzi wake.
MWANZO UNAMUONYESHA MTU,upole,upendo,ustaarabu,unyenyekevu,ukarimu nk.
Naye anakutendea wema uleule.
UNAAMUA KUMUACHA MPENZI WAKO bila kosa lolote TENA KWA KILA AINA YA jeuri,dharau,matusi nk.
BAADAE SANA.
some weeks or some months or even after years.
UNARUDI UKILIA UNATAKA USAMEHEWE,tena kisingizio ni SHETANI(IBILISI) hata kama kanisani/msikitini huendi.
WHAAAT?lovers reason critically kabla ya kufanya maamuzi,TAMAA NI MBAYA.
ridhika na anaeheshimu hisia zako.
MAANA INATIA HURUMA KUMWACHA MTU KWA MBWEMBWE ALAFU UNAKUJA KUMLILIA haisidii na utakuta alishapoteza hisia kwako na mkirudiana haiwezi kuwa kama zamani mana ni kama kulazimisha hisia wakati zimeshapotea