😅😅anafikiri dada zako wote huwajui.Unakuta umemtongoza manzi au hata umemuoneshea ukaribu wa kimahusiano halafu unakuta anakwambia " mimi dada yako unajua" hii sentensi huwaga wanamanisha nini..leo mjibu hapa nyie jinsia ya KE, ingekuwa dada ndo angekuja kukutongoza?
Ukiwa na hela hautaambiwa tena we ni kaka yake,sanasana utaulizwa tarehe ya harusiUkishatafuta hela kinachofata nini unaenda kuzifukia jalalani au?
Sasa mdogo wangu hujaelewa nini?Unakuta umemtongoza manzi au hata umemuoneshea ukaribu wa kimahusiano halafu unakuta anakwambia " mimi dada yako unajua" hii sentensi huwaga wanamanisha nini..leo mjibu hapa nyie jinsia ya KE, ingekuwa dada ndo angekuja kukutongoza?