Unampenda lakini hakupendi

Mkuu, life is too short to waste my precious emotions on someone who doesn't appreciate. Piga chini, wewe sio shule ya kujifunzia kupenda, aende kwingine akajifunze, akigraduate ataenda kwa mwingine, kwako atakuja aliekwishafunzwa na mwingine.
 
Kipi ni bora ...umwambie nenda zako au uuchune?
 
Mmmh naona kma umenizungumzia Mimi mkuu sio siri na ujumbe wako umeniingia kiasi kwamba umenihamasisha na najiona mshindi katika hii vita ngumu ya nafsi

Hapa naona ujumbe huu umegusa wengi..ni ngumu kuumeza japo unaumiza
 
aniwaze ashindwe hata kula, atume sms. nikicheleea kujibu aumie skiona sms yoyotr ajue ni mm kumbe ni vida eanakumbudhia deni la nipige tafu loh nitampendaga milele
Basi uko tofauti, wenzio sijui wanakinai kupendwa? Unafanyiwa visa mpaka unakaa chini unajiuliza, hivi najipendekeza ili iweje? Nikimuacha nitakufa? Unaamua kubadilika

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…