Unamkumbuka mchezaji gani hapa kwenye hiki kikosi cha Simba?

Unamkumbuka mchezaji gani hapa kwenye hiki kikosi cha Simba?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Kikosi hiki cha zamani cha Simba SC kimeacha kumbukumbu kubwa kwa mashabiki wa soka nchini. Wengi walitoa burudani uwanjani na kutengeneza historia ya klabu.

Unamkumbuka mchezaji gani hapa kwenye hiki kikosi cha Simba?

1756804098042.png


 
Hoja yako kama vile ina make sense,kwa nini ukabili username?
 
Mwinyikazimoto, mkude, kapombe, uhuru selemani, Juma kaseja, haruna Moshi boban
 
Kikosi hiki cha zamani cha Simba SC kimeacha kumbukumbu kubwa kwa mashabiki wa soka nchini. Wengi walitoa burudani uwanjani na kutengeneza historia ya klabu.

Unamkumbuka mchezaji gani hapa kwenye hiki kikosi cha Simba?

Kapombe yupo bado.

Yani huyu akikutana na winger ambayo yupo very technical anashidwa kumkaba kabisa.
Sijajua kwanini Simba wanaendelea kubaki nae isee.
CAPO DELGADO
 
Back
Top Bottom