Clayton Paul
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 2,130
- 4,391
Rejea Majukwa makubwa ya soka Enzi hizo kama
•Ligi kuu za Ulaya
•UEFA Champions league
•FIFA World Cup
Unamkumbukaje Mzee wetu Dokta Leakey Abdallah ?
Red card ya mchongoSitamsahau alichambua final ya Arsenal vs Barcelona 2006.
Akasema Arsenal atafungiwa 2_1
Na Arsenal atapata red card ♦️ na kweli Aluminia alipata red card
Kaanza kubeti 90 kweusiAna historia kubwa sana ya football kichwani mwake.
Kivipi ?Red card ya mchongo
Mzee alikuwa fundi ana reference za kutosha😂Fainali ya World cup mwaka 2006 kati ya Italy vs Germany, alisema Italy ni kama sponchi inavyoweza kustahimili maji. Hivyo ukiwapelekea mashambulizi wao wanayakabili tu bila shida yeyote. Germany akafa goli 2 kwa 0 chuma zote zimeingia extra time baada ya dakika 90 kumalizika 0-0
2006 fainali ni kati ya Italy na France sio Germany.Fainali ya World cup mwaka 2006 kati ya Italy vs Germany, alisema Italy ni kama sponchi inavyoweza kustahimili maji. Hivyo ukiwapelekea mashambulizi wao wanayakabili tu bila shida yeyote. Germany akafa goli 2 kwa 0 chuma zote zimeingia extra time baada ya dakika 90 kumalizika 0-0
2006 fainali ni kati ya Italy na France sio Germany.
Tukio maarufu ni red card ya Zidane kufuatia kumtwika kichwa Gattuso.
Recheck your facts.
Ile red card ilikua halaliRed card ya mchongo
Zidane alimpiga kichwa materazi na siyo gatuso2006 fainali ni kati ya Italy na France sio Germany.
Tukio maarufu ni red card ya Zidane kufuatia kumtwika kichwa Gattuso.
Recheck your facts.
Ile game golini alianza jens lehman na ndie alikula umeme dakika za mwanzoni tu nafikiri ilikua around dakika 15 hiviSitamsahau alichambua final ya Arsenal vs Barcelona 2006.
Akasema Arsenal atafungiwa 2_1
Na Arsenal atapata red card ♦️ na kweli Aluminia alipata red card
Mnyamwezi wa Tabora.View attachment 3279077
Rejea Majukwa makubwa ya soka Enzi hizo kama
•Ligi kuu za Ulaya
•UEFA Champions league
•FIFA World Cup
Unamkumbukaje Mzee wetu Dokta Leakey Abdallah ?
hakumpiga gattuso bali materazzi.2006 fainali ni kati ya Italy na France sio Germany.
Tukio maarufu ni red card ya Zidane kufuatia kumtwika kichwa Gattuso.
Recheck your facts.
Mzee huyu kamari ipo damuni kuna siku aliacha gari bond pale seacliff casino!Kaanza kubeti 90 kweusi
Italy vs Germany ilikuwa ni nusu fainali. Kwenye fainali aliyepigwa kichwa ni Materazzi.2006 fainali ni kati ya Italy na France sio Germany.
Tukio maarufu ni red card ya Zidane kufuatia kumtwika kichwa Gattuso.
Recheck your facts.
Ni 19 kweusi sio 90 kweusiKaanza kubeti 90 kweusi