Mkuu bado wapo ila kila mmoja alikuwa anafanya solo projects. Pusha T ana albam katoa mwaka jana inaitwa "My name is my name" wakati No Malice naye alitoa "Hear Ye Him". Sasa hivi wanafanya albam ya pamoja "As God as my witness".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.