Wabongo kwa kuamini conspiracy theories!
Area51 imejaa conspiracies kama ilivyo illuminati au freemasonry hapa wote mnajazana chenga tu Hakuna anaejua
Kama linalindwa nyie mnajuaje? Tatizo waaTz mmejua kuingia YouTube na Google basi wote mnajifanya researchers mliobobea. Smh
Hakuna uthibitisho wa aliens mahala popote duniani acheni kujazana ujinga
lla nasikia kuna sehem ya ajab zaid ambayo ipo katkat ya dunia na spirts zote hukutana huko.
Agatha kingdom.
Makubwa madogo yan nafuu
toa elimu tujue mkuu,sio maneno mazuri haya
Mkuu..kumbe aliens wanavaa t-shirt.. asante kwa kunitoa tongotongo
Mungu Yupo?Uthibitisho. Habari zote unazoongelea hapa zimejengekeka katika nadharia na conspiracies tu bila uthibitisho wowote
Sababu wabongo wanapenda sana conspiracy theories na habari za uchawi na ulozi basi hapa watashikwa bila kufikirisha akili. Ndio maana wengi wanaamini mambo ya Freemasons, uchawi, majini aliens na mambo kama
Area51 Ni eneo lipo na restricted kweli ila nini kinafanyika mle ndani hakuna ajuae hivyo tusijazane matango as if mnauhakika. Mtu yeyote anaweza feed chochote kwenye internet kama habari kuhusu hili eneo zinavyoweka YouTube na kila mtu bila uthibiti
Mwingine kaja kuongea pumba kuhusu projects wanazofanya CERN eti Ni kwa uwezo wa aliens na si binadamu WTF! Kama sisi hatuwezi tumia akili zetu sio kila mtu hawezi, pale Ni experiments za quantum physics wala si miujiza
HAKUNA UTHIBITISHO WA UWEPO WA ALIENS MAHALA POPOTE DUNIANI AU ANGANI
Tanzania iko wapi
Tanzania iko wapi
soma post zote tangu mwanzo utaelewa! alien unaowaona picha zao sio kweli, hao nasa wamewapachika kuficha alien halisi, pia tunaposema watu "smart" inaelekea hujaelewa. hukuna mjomba "smart" huku kwetu! huku hata wakiletewa ujuzi na hao waliokutana na watu smart wanaharibu, kwetu hakuna mtu smart wa aina ya nasa wanaowataka! huku kuna wagumu na wabishi kama unavyoona hapa jf,tanzania ina vitu vingi vya kukuza uchumi kuliko marekana, ila imekosa watu wanaotumia akili za hali ya juu, (itakuwa kuwasiliana na alien!) hapa ubishi,wizi,miradi hewa ndio sawa, mambo ya kutafuta ugunduzi,maarifa makubwa,alien yatabaki hukohuko usa (area51) na kwingineko,sisi tunaletewa teknolojia na tunatumia tu, bisha mkuu kwanguvu...