Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

Unaletewa parcel na document yoyote mpaka ulipo kwa sh 5000

kamodo

Member
Joined
Sep 21, 2016
Posts
24
Reaction score
1
kama unahitaji mtu wa kukuletea document au parcel kwa bei ndogo piga simu no 0653620415,,,kwa mawakili na wanasheria pia unaweza kutupa document confidential ikafika sehemu husika ,, tuna bima ikitokea document imepotea ndani ya mikono yetu,, unataja value yak e una- be reimbursed.
 
kama unahitaji mtu wa kukuletea document au parcel kwa bei ndogo piga simu no 0653620415,,,kwa mawakili na wanasheria pia unaweza kutupa document confidential ikafika sehemu husika ,, tuna bima ikitokea document imepotea ndani ya mikono yetu,, unataja value yak e una- be reimbursed.
Hautoifungua kujua kuna nini??
Kampuni yenu inaitwaje??
 
Hautoifungua kujua kuna nini??
Kampuni yenu inaitwaje??
karibu ,,, hapana, ndo maana nikasema tunadeal na confidencial things pia. it mean tunawajari wateja na kuheshimu kazi yetu. km unahitaji service ni call au nitext ulipo nikufuate tuzungumze business.
 
karibu ,,, hapana, ndo maana nikasema tunadeal na confidencial things pia. it mean tunawajari wateja na kuheshimu kazi yetu. km unahitaji service ni call au nitext ulipo nikufuate tuzungumze business.
So hata kuniambia Jina la Kampuni yenu mpaka niku-call au text??
 
Weka jina la kampuni yenu ofisi zenu zilipo kama mnadili Na vitu kama hivyo uoga Wa kutaja jina la kampuni Na ofisi Wa nini
 
Msimuhukumu mapema wakuu! Inawezekana kijana amechoka kukaa mtaani ameamua ajiajiri kufanya 'umesenja'! Tatizo alichokosea amejitutumua as if ana kampuni au ofisi..

Kijana kuwa muwazi la sivyo ndipo hapo hisia za utapeli zinaingia!!
 
Msimuhukumu mapema wakuu! Inawezekana kijana amechoka kukaa mtaani ameamua ajiajiri kufanya 'umesenja'! Tatizo alichokosea amejitutumua as if ana kampuni au ofisi..

Kijana kuwa muwazi la sivyo ndipo hapo hisia za utapeli zinaingia!!
Mkuu inabidi awe na mikakati mizur ya kushawishi watu sio tu analeta mambo juu juu
 
Unajua anaweza kuwa na wazo zuri na mkakati mzuri
Ila hofu ya vijana wengi ni kufungua kampuni,unajua kuna kampuni kufungia hata milioni haifiki.Ila mtu akisikia kampuni anajua heeee,
Yaaani kampuni inamtia hofu,inakuwa kama zamani mie nilivyokuwa naogopa Benki aiseee.

Sasa anaweza lengo ni zuri na ni muaminifu ila anataka kuanza kwanza kienyeji.Sasa sidhani kama ni tapeli.Najua atakuwa na mfumo wa kuwa traced.
Na budet yake ya Buku tano,anaweza kuanza kwa kupanda Daladala ili asave

Mie namuunga mkono,kuna watu wanaanzia maisha mbali sana,na mpaka kuandika ni kwamba amefikiria mbali mno.Na unaweza kukuta yupo yeye na mwenzie tu,ili wazichange na wakiona inalipa wapate msaada wa kufungua kampuni baada ya kuzichanga.
Upande wa Pili:
Ila kinachombana hapo hapo,ni kusema kwamba wana BIMA.
Hapa ndio linakuja swala la kutakiwa kueleza Kampuni yake,maana mpaka kuwa na Bima sio mchezo,makampuni makubwa tu Bima hayana.Sasa jamaa inabidi ajieleze.
Bila hiki kipengele angekuwa ana credit ya kutumwa hata vimemo ambavyo vikipotea havina issue
 
So hata kuniambia Jina la Kampuni yenu mpaka niku-call au text??
kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono wako wa kulia kama unatoka makumbusho mkono wa kushoto.-0653-620415.
 
huo utapeli wako peleka insta na fb huko
sio wote tapeli kaka, ndo maana nikakwambia kama unahitaji huduma niambie ulipo nije tuongee zaidi , kutumia media sometimes convincing power ni ndogo. ila haina shida ngoja nikuelekeze ufike;kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono wako wa kulia kama unatoka makumbusho mkono wa kushoto.-0653-620415.
 
Tapeli ambaye hajasoma ni shida.
Nashukuru sana Madam Mwajuma ww uliyesoma, ila sio kila aletaye tangazo ni tapeli ! sometimes tunahitaji positive mind- iyo ni mojawapo ya personal development- ok ngoja nikueleze na karibu sana dada utembelee ofic zetu-kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono wako wa kulia kama unatoka makumbusho mkono wa kushoto.-0653-620415.
 
Msimuhukumu mapema wakuu! Inawezekana kijana amechoka kukaa mtaani ameamua ajiajiri kufanya 'umesenja'! Tatizo alichokosea amejitutumua as if ana kampuni au ofisi..

Kijana kuwa muwazi la sivyo ndipo hapo hisia za utapeli zinaingia!!
Nashukuru sana kaka kuwa muelewa, siku zote positive attitude ni nzr mno kuitanguliza km ulivyofanya,,,Asante,, na ukweli ni kwamba ofisi ipo ila napenda mtu akishakuwa interested tuongee face to face or through phone coz covincing power kwenye written ni ndongo mno,, ila pia nitamjibu mmoja mmoja ni kweli ofisi zetu zipo-kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono wako wa kulia kama unatoka makumbusho mkono wa kushoto.-0653-620415. karibu
Mkuu inabidi awe na mikakati mizur ya kushawishi watu sio tu analeta mambo juu juu
Mkuu inabidi awe na mikakati mizur ya kushawishi watu sio tu analeta mambo juu juu
Ni kweli kabisa ila ndo maana nikasema kama mtu atapenda huduma nimetoa namba ili apige au anitext ili niweze kumpa maelezo ya kutosha ikiwa pia na business profile hili ni tangazo tu,, if some one is very serious interested anaweza kufanya ivyo,,, ila nashukuru kwa ushauri wako pia ,,,nitaufanyia kazi,,karibu kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono wako wa kulia kama unatoka makumbusho mkono wa kushoto.-0653-620415.
 
Kwa mfano umepoteza cheti cha mtu cha kitaaluma,how do you manage refunding this?
kuna process za kufanya mtu mpaka akapata icho cheti withough incurring any cost,,, only companies cost. it means kutafutiwa cheti kingine ambacho kitakuwa na value km kile ulichokuwa nacho mwanzo,,, ila ofice yetu ipo very serious na service zetu inadeal na confidencial things,,,hatutegemei kitu kama icho kutokea but incase of inconvenience we will work on it.
 
kuna process za kufanya mtu mpaka akapata icho cheti withough incurring any cost,,, only companies cost. it means kutafutiwa cheti kingine ambacho kitakuwa na value km kile ulichokuwa nacho mwanzo,,, ila ofice yetu ipo very serious na service zetu inadeal na confidencial things,,,hatutegemei kitu kama icho kutokea but incase of inconvenience we will work on it.
karibu ofisi zetu zipo ,,kampuni inaitwa Unilever courier services ipo mwenge -kituo unashuka ITV-kama unaelekea makumbusho mkono wako wa kulia kama unatoka makumbusho mkono wa kushoto.-0653-620415.
 
Back
Top Bottom