Unakumbuka shule ya MSINGI uliyo soma?

Unakumbuka shule ya MSINGI uliyo soma?

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Habari zenu!
Nimepata wazo la kutuunganisha na kutukumbusha mbali,kama sio sisi wenyewe basi tutawakumbuka hata baadhi ya watu kama wanakijiji,waalimu,wenyeviti wa kijiji,mashekh,mapadri n.k.kwa wale wamjini unaweza tupia mkoa na eneo na story zikaendelea.
Tupieni shule za msingi tulizosoma ikiwa ni pamoja na kijiji au kata iliyopo shule hiyo tuone wanajf wangapi watakuwa walishea shule na vijiji kizawa na kimasomo.
Tutiririke!!!!
 
Naanzisha!!

Mimi nilisoma kijiji cha kilamfua (w)rombo mkoa kilimanjaro
Namkumbuka bus la mrike na masaseni ezi hizo!!
Anayetokea maeneo hayo aje tuendelee na mastori ya pande hizo
Namkumbuka sana padri babu alivyokuwa anasoma ibada fasta fasta ili akavute sigara dah RIP babu.
 
Complicated history...

Nimesoma shule zaidi ya moja...

1. Borenga primary.. Serengeti-Mara region..

2. Kwata primary.. Korogwe Tng

3. Mwenge primary.. Dodoma region

4. Nyanza primary (nyanza C).. Mwanza.. Hapa ndipo nilipomalizia mwaka 2005..

Kama kuna classmates wangu hum plz tutaftane..
 
Mi nimesoma Ngudulugulu miaka hyo ya tisin naa wilaya ya kwimba ngudu
 
Complicated history...

Nimesoma shule zaidi ya moja...

1. Borenga primary.. Serengeti-Mara region..

2. Kwata primary.. Korogwe Tng

3. Mwenge primary.. Dodoma region

4. Nyanza primary (nyanza C).. Mwanza.. Hapa ndipo nilipomalizia mwaka 2005..

Kama kuna classmates wangu hum plz tutaftane..

acha utani... nyanza 'c' umemaliza 2005!!! aaaah mi nilikua nyanza 'a' that time
 
acha utani... nyanza 'c' umemaliza 2005!!! aaaah mi nilikua nyanza 'a' that time

kweli mkuu!!

nimemalizia C by that time...

nilikuwa chini ya mkuu wa shule anaitwa Lemunge!

vp nawe, unamkumbuka h.teacher wako?
 
kweli mkuu!!

nimemalizia C by that time...

nilikuwa chini ya mkuu wa shule anaitwa Lemunge!

vp nawe, unamkumbuka h.teacher wako?

yeah tulikua na madam Tumbo.... nynza 'b' alikuepo mr. kopoka
 
1988-1994 Sanu baray primary school,(W) Mbulu Mkoa Arusha wakati huo
 
Nilihamia Mgulani 1979-1983 Mwl Mwailafu mwl mkuu,Isabella Muhando Mwl wa Darasa...classmates ani PM
 
Nimesoma Isingiro s/m,kata ya kaisho,tarafa ya murongo,wilaya ya karagwe,mkuu wa shule alikuwa aristides na baadae clemence Paulo
 
Nimesoma shule 4 yakwanza no rusumo mageleza ipo rusumo mkoa wa kagera,nikaenda kashai shule ya msingi ipo bukoba,nikaenda rumuli p/school nikamalizia tumaini p/school,kama kuna class met tujuzane wadau.
 
Zagayu s/msingi 1996-2002! kijiji cha Bukingwaminzi kata ya Zagayu tarafa ya Itilima,wilaya ya Bariadi,mkoa wa shinyanga saizu ni mkoa wa Simiyu
 
Habari zenu!
Nimepata wazo la kutuunganisha na kutukumbusha mbali,kama sio sisi wenyewe basi tutawakumbuka hata baadhi ya watu kama wanakijiji,waalimu,wenyeviti wa kijiji,mashekh,mapadri n.k.kwa wale wamjini unaweza tupia mkoa na eneo na story zikaendelea.
Tupieni shule za msingi tulizosoma ikiwa ni pamoja na kijiji au kata iliyopo shule hiyo tuone wanajf wangapi watakuwa walishea shule na vijiji kizawa na kimasomo.
Tutiririke!!!!

Unaonekana mkabila wakaskazini mnaupenda sna ukabila na chama chenu kile .
 
Naanzisha!!

Mimi nilisoma kijiji cha kilamfua (w)rombo mkoa kilimanjaro
Namkumbuka bus la mrike na masaseni ezi hizo!!
Anayetokea maeneo hayo aje tuendelee na mastori ya pande hizo
Namkumbuka sana padri babu alivyokuwa anasoma ibada fasta fasta ili akavute sigara dah RIP babu.

Padre babu kafa lini ndugu
 
Back
Top Bottom