Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

Unakumbuka breakup yako ya kwanza?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,485
Reaction score
3,562
Hapa ndo nilithibithisha kuwa mapenzi ni yanauma,
Maumivu nilioyapata sijawahi kuyapata tena na naomba yasijirudie, yaani huumwi sehemu yoyote ya mwili lakini unaona dunia iko juu chini.

Kwa mara ya kwanza nikashindwa kula. Chozi linatoka, lecture hazipandi.

Sikuwa mpenzi wa nyimbo ila nilijikuta nawafahamu kina Bruno Mars, Celine dion, ibra nation, Adele na wengine wengi.

Nilikuwa nikiangalia picha yake au nikiangalia call history nalia. Sema nilikuwa najikaza watu wasinione dhaifu.
Hakika haya mambo yasikie. Kwa ambae hayajamkuta hawezi kuelewa hii hali
 
Nakumbuka 2004 nilimpenda binti mmoja chuo kimojawapo hapo Moro. Nilioza kabisa nikawa sisikii.....baada ya miezi 4 hivi akaniambia ana mtu mwingine ambaye ni mbotswana ndio anataka amuoe.Iliniuma sana na ilichukua muda kurudi katika hali ya kawaida.
 
Aisee nakumbuka niliachwa na siku natumiwa hyo txt ya kuachwa nilikuepo nakula na mama sio siri nilishindwa hta kula ila nilijikaza bt yokea hapo sijawah tena kuumia kisa mapenz maana yule alienikataa aliniambia simpend kisa nimemuomba tusex aisee mapenz yana meng ila now hawa kima nawaendesha vya kutosha
 
Nilimpenda kweli, ni story ndefu, alikuwa mmanga hawa wa ki-Oman, ndugu zake hawakunitaka na waliloamini ni kwamba ningemuharibia masomo yake na hatimae maisha yake.

Katika harakati za hapa na pale ikatokea safari ya kimasomo kwenda nchi flani hivi, nlifanya yote yaliyowezekana akawemo safarini maana mimi nlikuwa na nafasi tayar, alinishkuru sana for that lakini alikuwa kuungana na kukubaliana na matakwa ya ndugu zake kwamba aachane nami. Kipindi cha rehearsal kilikuwa ndio kipindi cha kutuweka karibu but she always avoided me. I was never happy at school na kila safari ilivyokaribia ndivyo hakunielewa ba kujaribu kuji-distance from me.

Siku ya safari ikafika, ndege yetu saa nne asubuhi mpaka saa mbili hajafika. I started worrying na nkataka kugoma pia, kama haendi nami sitokwenda, fikra zangu ziliniambia ndugu zake wamemzuia. Around saa mbili na nusu alitokea, nlikumbatiana na kaka yake aliemsindikiza na akaninong'oneza kuwa he believes I will protect his sister. I gave him my words that she was in a safe hands.

Mmanga yule hakutaka kuongea nami mpaka tulipofika Amsterdam alipopata matatizo na suitcase yake. She was crying and calling me "my love". I had some courage and strength to do whatever I had to ili vitu vyake vyote tupate kusafiri navyo.

In Norway, she gifted me her ............

We enjoyed our time, and she promised me that she will be mine no matter what.

As we reached Tanzania, out of the flight, she pulled me, hugged me, kissed me and said it was over between us. And it was over.
 
Nilimpenda kweli, ni story ndefu, alikuwa mmanga hawa wa ki-Oman, ndugu zake hawakunitaka na waliloamini ni kwamba ningemuharibia masomo yake na hatimae maisha yake.
Katika harakati za hapa na pale ikatokea safari ya kimasomo kwenda nchi flani hivi, nlifanya yote yaliyowezekana akawemo safarini maana mimi nlikuwa na nafasi tayar, alinishkuru sana for that lakini alikuwa kuungana na kukubaliana na matakwa ya ndugu zake kwamba aachane nami. Kipindi cha rehearsal kilikuwa ndio kipindi cha kutuweka karibu but she always avoided me. I was never happy at school na kila safari ilivyokaribia ndivyo hakunielewa ba kujaribu kuji-distance from me.
Siku ya safari ikafika, ndege yetu saa nne asubuhi mpaka saa mbili hajafika. I started worrying na nkataka kugoma pia, kama haendi nami sitokwenda, fikra zangu ziliniambia ndugu zake wamemzuia. Around saa mbili na nusu alitokea, nlikumbatiana na kaka yake aliemsindikiza na akaninong'oneza kuwa he believes I will protect his sister. I gave him my words that she was in a safe hands.
Mmanga yule hakutaka kuongea nami mpaka tulipofika Amsterdam alipopata matatizo na suitcase yake. She was crying and calling me "my love". I had some courage and strength to do whatever I had to ili vitu vyake vyote tupate kusafiri navyo.
In Norway, she gifted me her ............
We enjoyed our time, and she promised me that she will be mine no matter what.
As we reached Tanzania, out of the flight, she pulled me, hugged me, kissed me and said it was over between us. And it was over.

Daa aliamua kutumia fursa ili apate msaada,
Kweli moyo wa mtu ni kichaka, hujui nini kuna nini
 
Yule ms*nge aliniacha jumapili ambayo jumatatu yake tulikuwa na test...sababu yake mammmae zake nikachafua CV ya kuzungusha ile paper (nilipata zero)

Nilikuwa siwezi kula
Siwezi kulia japo natamani kulia lakini machozi hayaji
Nilikuwa mchekaji mzuri lakini siku hizi sicheki kabisaaaa

Popote ulipo ama kama unasoma hapa ujue tu nakuchukia kuliko kawaida!!!na kwa taarifa yako ninae baby mpya nampenda sanaaaaaa

#povu

Halafu bado nakupenda
 
As we reached Tanzania, out of the flight, she pulled me, hugged me, kissed me and said it was over between us. And it was over.

Mkuu haya maneno yanauma
Iliuma sana kipindi kile, ni zaidi ya miaka kumi sasa na nina familia niipendayo.

At some point in my life, she tried to come back, went to the head master of our then school and asked if he could talk to me. I wasn't ready and never will I be.

Believe me, I loved again and I was strong enough to move with my life, though it wasn't easy but I managed.

"Long time ago, I wiped my tears
Now they start to flow, as a sign of fear
Baby you know what,?? Listen clearly
I am so attracted by your long black hairs "

Relief Mirzska @2009
 
Yule ms*nge aliniacha jumapili ambayo jumatatu yake tulikuwa na test...sababu yake mammmae zake nikachafua CV ya kuzungusha ile paper (nilipata zero)

Nilikuwa siwezi kula
Siwezi kulia japo natamani kulia lakini machozi hayaji
Nilikuwa mchekaji mzuri lakini siku hizi sicheki kabisaaaa

Popote ulipo ama kama unasoma hapa ujue tu nakuchukia kuliko kawaida!!!na kwa taarifa yako ninae baby mpya nampenda sanaaaaaa

#povu

Halafu bado nakupenda
Umemaliza vizuri kabisa umeua
 
Alinambia hivi nakumbuka alikua anaitwa Eliza Akataja jina langu akasema Nkundwe I know U deserve better,Ur a good guy but for now let's Us break up and Stay friend's nataka nirudi shule kusoma naona mapenzi yatanichanganya sana mimi nikamjibu poa but nililia kimtindo mpaka kesho nampendaga sana alikua anasauti fulani kama ya diva.

Lizy popote Ulipo kunywa bear ntalipa mama.
 
Ile msg ya Naona tuachane tu aisee nilihisi Gizaa flani hivi nikataka kuzimia..!! Sikuweza kuongea na mtu yani nililia kama mtoto ila mama akajua tatizo aisee alinitia moyo na kunipa shule kuhusu wanawake yani toka siku ilee mwanamke hawezi isumbua akili yangu hata Kama Nimpende vipii... akizingua namuacha dak sifuri kitu kingine siwezagi Kumbembeleza mwanamke kabisaa.
 
There was a time, I met a girl of a different kind.
We ruled the world, I thought I'll never lose her out of sight.
We were so young, I think of her now and then
I still hear the songs reminding me of a friend

Up on the hill across the blue lake,
That's where I had my first heartbreak
I still remember how it all changed
My father said,
"Don't you worry, don't you worry, child
See heaven's got a plan for you
Don't you worry, don't you worry now"
Yeah!
 
Back
Top Bottom