Unakumbuka adhabu hizi za shuleni?

Unakumbuka adhabu hizi za shuleni?

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,074
Reaction score
34,844
222424_397748996962544_1054002765_n.jpg

Je unakumbuka vibano na adhabu za shuleni??
 
Hapo unaita mvua hadi inanyesha, sasa ole wako ulegeze mkono mwalimu anakugonga stiki za kipepsi hadi unachanganyikiwa.
 
walimu walikuwa wanajipanga km 20 hv unachezea fimbo mpaka mwisho na usiposema asante wanaanza upya
 
Si wameiba korosho za mwalimu? Adhabu lazima. Ila ndio hivyo tena njaa haina adabu awe mtoto, mwanafunzi au mtu mzima!
 
nakumbuka hyo adhabu kuna mwenzetu alijikojolea.
 
Back
Top Bottom