Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,302
- 9,809
Safi nakujifunza je inaweza kuchukua mda??Kwa mapigo ya kigeto geto wengi wetu tunachukua M audio mid keyboard Tsh 600000 mpka 650000.
Au hata Piano Tyros 400000 pka laki tano ingawa sio kizuri sana......
Kama mkwanja upo kuna Yamaha psr 550 unaweza pata hata kwa Mil 1.3 mpka point 5.
Yani kwa kifupi vipo vingi sana ukiingia mtandaoni utakuta vyote na bei zake
Mkuu uko wapi?Nipo vizuri kwenye Kinanda Piano na Church Organ ( Roman Catholic)
Nataka unichore.Mbali na taaluma "ZANGU", nina umri wa miaka 26 na nina "KIPAJI" cha kuchora kwa kutumia Pencils, Rangi za Mafuta, Rangi za Maji (Sina utaalamu hapa sana) na Crayons.[emoji18] [emoji18] [emoji18]
Zalisha sio zarisha.Kipaji changu ni kuzarisha korosho
Nitaongea mama mkuu akulete parokiani kwanguHahahhaahaa jamaniii mm ni mtawa wa parokia flani hivi,.,ndio maana nimeuliza..usiniwazie vibaya mwe[emoji23][emoji23]
Upo parokia ipi askofu???Nitaongea mama mkuu akulete parokiani kwangu
Udaktari ni professional hiyo..Mbali ya taaluma yangu ya ualimu nina kipaji cha udaktari.
Professional? Uliza waliopata matibabu kwangu watakwambia.Udaktari ni professional hiyo..
Professional? Uliza waliopata matibabu kwangu watakwambia.
Kwa sasa mimi bado ni Paroko, sijawa Askofu. Nipo parokia ya KimanzichanaUpo parokia ipi askofu???
Unatoa matibabu gani.?
Kipaji changu ni kuimba lakini pia najua ku-danceUkiachana na mambo tuliyo bobea baada ya kufundishwa kila mtu anakipaji chake alicho zaliwa nacho, mwengine vipaji vyao wanavijua mwengine mpaka sasa hajui ana kipaji ngani
mm kipaji changu ni uchoraji nilijikuta najua kuchora tokea nikiwa mdogo sema sikukiendeleza saivi naona kinafifia fifia kidogo lakini bado kipo
Kama mnajua kipaji chako tuambie ni kipi unaweza ukampata mtu mnaoendanda
Kumbuka: kipaji sio ujuzi(skills) hata mtu anaejua kuandika code sana hicho sio kipaji alijifunza au labda amezaliwa anajua Java na c shap ndo kitakua kipaji.
Pia kama huna kipaji nakupa pole, au ulikua nacho kikapotea embu tuambie
Kumbe wewe ni mwalimu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ndomana umeni sahihishaMbali ya taaluma yangu ya ualimu nina kipaji cha udaktari.
Yote katika mwili wa mwanadamu.
Anhaa...sawa baba paroko..mm niko huku usharika wa watakatifu wote zingiziwaKwa sasa mimi bado ni Paroko, sijawa Askofu. Nipo parokia ya Kimanzichana
Mungu akupe hitaji la moyo wako daktari
Kumbe wewe ni mwalimu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ndomana umeni sahihisha