Wewe bado hujapata mtoto?hivi kumbe kajala ana mtoto, tena mkubwa hivi mmhhh...
Huyu si kuna video yake inasambaa inaoneshwa kuna njemba inamkazaDaaah mtoto wa kajala kawa mkubwa kabla ya umri wake , nikiwa na maana kabemendwa kimawazo kila siku skendo za mama duuuu!!!!
sina, unataka kunipa?Wewe bado hujapata mtoto?
Fanya hivyo muda wenyewe ndo huusina, unataka kunipa?
Tena keshaanza kale kamchezo..hivi kumbe kajala ana mtoto, tena mkubwa hivi mmhhh...
Tena keshaanza kale kamchezo..
....kwahiyo unajiona unajua booooonge la dili,sio?Kuna mdada mmoja nae kazaa nae mtoto wa kiume.. Kwa jina sitomtaja...
Peleka Mahali. Alafu unamkuta Pfunky na vijana wake wa bongo record wanakula bangihivi kumbe kajala ana mtoto, tena mkubwa hivi mmhhh...
....kwahiyo unajiona unajua booooonge la dili,sio?
..hata wewe ukijipendekeza anazaa na wewe tu!
Point 25 siyo point 5. Kweli inatia shaka mjukuu wa mzungu haoneshi hata kdg kuwa babu yake ni mzungu. Ila mambo ya genetics hayatabiriki angeweza kuwa na mzazi mmoja mzungu na akatoka mweusiHuyo wa kajala mbona sio point 5!! Atakuwa kapigwa changa hapo majani,mbaya zaidi mtoto kafanana na Kajala
Mimi nilikuwa sijiui huenda hata baba mtoto mwenyewe alikuwa hajui hz ni zama za ngono huria liberal sex mahusiano ndoa kudumu muda mfupi kama chaja ya smart phone. Mtu anaweza kuweka mimba asijue au akijua akawa hana uhakika yeye ni baba au mwingine. So anything is possible
How time flys, My baby girl has become a woman, ameandika P-Funk Majani aka Dream Big kwenye picha ya mwanae mkubwa wa kike (jina lake halijapatikana mara moja) aliyoiweka kwenye mtandao wa Instagram. Mhh! Nani alitegemea kama producer huyo wa Bongo Records angekuwa na mtoto mkubwa hivi? P-Funk ana mtoto mwingine mkubwa wa kike aliyezaa na Kajala aitwaye, Paulette.Usishangae P kusikia amekuwa babu soon!!