Unajuwa kimeo?

Llio 002

JF-Expert Member
Jul 14, 2015
1,615
2,031
Kimeo ni kiungo kipo sehemu ya mwisho kabisa ya kinywa na karibu kabisa na sehemu ya juu ya koo. Na kazi ya kimeo ni kutoa mate mepesi hasa wakati wa kumeza kitu na pia kazi nyingine ya kimeo ni kuziba kwenye njia ya hewa wakati ukiwa unameza kitu either chakula au kitu kingine chochote ili hicho chakula kisiingie kwenye njia ya hewa.

Kuna raia mtaani wanatuongopea kwamba kuna ugonjwa wa kimeo na huwa wanakata... Wazee tusiongopeane hakuna huo ugonjwa sasa wewe jichanganye kata kimeo uje utufie na uanze kutupa tabu sisi jambo kama hulijuwi ni bora uulize wanaolijuwa.

Alamsiki jami'a
 
Kimeo ni kiungo kipo sehemu ya mwisho kabisa ya kinywa na karibu kabisa na sehemu ya juu ya koo. Na kazi ya kimeo ni kutoa mate mepesi hasa wakati wa kumeza kitu na pia kazi nyingine ya kimeo ni kuziba kwenye njia ya hewa wakati ukiwa unameza kitu either chakula au kitu kingine chochote ili hicho chakula kisiingie kwenye njia ya hewa.

Kuna raia mtaani wanatuongopea kwamba kuna ugonjwa wa kimeo na huwa wanakata... Wazee tusiongopeane hakuna huo ugonjwa sasa wewe jichanganye kata kimeo uje utufie na uanze kutupa tabu sisi jambo kama hulijuwi ni bora uulize wanaolijuwa.

Alamsiki jami'a
Me nishawahi katwa ilikua 2013 na ninahema nakutembeza rungu kama kawa. Acha uongo
 
Mbona mkata kimeo mtaani kwetu yupo na ni wasiku nyingi na wateja kila kukicha wanaongezeka....?
 
Kwa kawaida huwa kinakuwa na kipimo chake na ikitokea bahati mbaya kikizidi urefu huwezi kuvumilia maana unakuwa unakohoa mfululizo kwasababu kinakuwa kinagusa eneo ambalo halipaswi kuguswa nacho hivyo inalazimu kipunguzwe kwa kukikata.

Nimeshuhudia watoto wakikatwa kimeo mara mbili
 
Kimeo ni kiungo kipo sehemu ya mwisho kabisa ya kinywa na karibu kabisa na sehemu ya juu ya koo. Na kazi ya kimeo ni kutoa mate mepesi hasa wakati wa kumeza kitu na pia kazi nyingine ya kimeo ni kuziba kwenye njia ya hewa wakati ukiwa unameza kitu either chakula au kitu kingine chochote ili hicho chakula kisiingie kwenye njia ya hewa.

Kuna raia mtaani wanatuongopea kwamba kuna ugonjwa wa kimeo na huwa wanakata... Wazee tusiongopeane hakuna huo ugonjwa sasa wewe jichanganye kata kimeo uje utufie na uanze kutupa tabu sisi jambo kama hulijuwi ni bora uulize wanaolijuwa.

Alamsiki jami'a
me pia hicho kimeo nimekuja kukisikia huku Morogoro

hii kitu hata mie nahisi ni Hoax
 
Kwa kawaida huwa kinakuwa na kipimo chake na ikitokea bahati mbaya kikizidi urefu huwezi kuvumilia maana unakuwa unakohoa mfululizo kwasababu kinakuwa kinagusa eneo ambalo halipaswi kuguswa nacho hivyo inalazimu kipunguzwe kwa kukikata.

Nimeshuhudia watoto wakikatwa kimeo mara mbili
ila inakuwa infection inaleta inflamation so wanakata sehemu iliyo vimba na kufanya usaha
 
Mi nilikatwa kwenye miaka ya tisini huko. Sijapata hitilafu yoyote ninayoiona. Na baada ya kukatwa nlipona kikohozi. Mamaangu pia alikuwa anakohoa sana mfululizo baada ya kwenda kukiondoa akapona. Wazee wetu hawakuwa wajinga
 
Yawezekana mleta mada anakwepa kwenda kukatwa kimeo, hapa ameandika tu ili huyo anayemlazimisha asitishe zoezi.
 
Back
Top Bottom