Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
Yule mzee wa vurugu za maono, muumini wa majini ambaye ametutoka, ulishajiuliza angetabiri nini kipindi hiki cha mgao wa umeme? Maana nchi imetulia baada majini na mapepo kupoteza kiongozi wake!Alikuwa mwongo sana !