GE2025 Unajua nini kuhusu Dr. Emmanuel John Nchimbi?

GE2025 Unajua nini kuhusu Dr. Emmanuel John Nchimbi?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Atlast nimempata

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
585
Reaction score
1,164
Dr. Emmanuel Nchimbi amewahi kushika nafasi mbalimbali za ajira na uongozi, nyingi zikiwa ndani ya serikali na chama. Mpangilio wake wa kazi unaweza kuonekana hivi:

Ajira na Nafasi Alizoshika

1. Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini – (2005–2015)

Alichaguliwa kupitia CCM na kushiriki kikamilifu katika mijadala na kamati za Bunge.

2. Naibu Waziri katika wizara kadhaa (2006–2010)

Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana

Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana

Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

3. Waziri
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana (2010)

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (2012–2013)
4. Balozi wa Tanzania

Brazil (2016–2021)

Misri (2022–2023)
5. Katibu Mkuu wa CCM – kuanzia Januari 2024 hadi sasa.
6. Mgombea Mwenza wa Rais (2025)
Ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Makamu wa Rais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
 
Dr. Emmanuel Nchimbi amewahi kushika nafasi mbalimbali za ajira na uongozi, nyingi zikiwa ndani ya serikali na chama. Mpangilio wake wa kazi unaweza kuonekana hivi:

Ajira na Nafasi Alizoshika

1. Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini – (2005–2015)

Alichaguliwa kupitia CCM na kushiriki kikamilifu katika mijadala na kamati za Bunge.

2. Naibu Waziri katika wizara kadhaa (2006–2010)

Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana

Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana

Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

3. Waziri
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana (2010)

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (2012–2013)
4. Balozi wa Tanzania

Brazil (2016–2021)

Misri (2022–2023)
5. Katibu Mkuu wa CCM – kuanzia Januari 2024 hadi sasa.
6. Mgombea Mwenza wa Rais (2025)
Ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Makamu wa Rais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
Ukiangalia vyema safari yake baada ya kifo cha JPM ndio utajua tuna Marais wawili
 
Dr. Emmanuel Nchimbi amewahi kushika nafasi mbalimbali za ajira na uongozi, nyingi zikiwa ndani ya serikali na chama. Mpangilio wake wa kazi unaweza kuonekana hivi:

Ajira na Nafasi Alizoshika

1. Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini – (2005–2015)

Alichaguliwa kupitia CCM na kushiriki kikamilifu katika mijadala na kamati za Bunge.

2. Naibu Waziri katika wizara kadhaa (2006–2010)

Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana

Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana

Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

3. Waziri
Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Vijana (2010)

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi (2012–2013)
4. Balozi wa Tanzania

Brazil (2016–2021)

Misri (2022–2023)
5. Katibu Mkuu wa CCM – kuanzia Januari 2024 hadi sasa.
6. Mgombea Mwenza wa Rais (2025)
Ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya Makamu wa Rais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025.
MTU aliyeutaman Umakamo wa Urais lkn ndo hivo 🤣🤣
 
Team Lowassa lia lia,mwanamtandao ambae hakuwahi kuasi .Ni mmiliki wa account ya Kigogo twitter.Yaani ndoto yake ni kuwa Rais bila kutoa Jasho kama ilivyokuwa kwa Samia.Inshort Samia hatomaliza term ya pili.I wish this time jeshi liingilie kati .
 
Back
Top Bottom