Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Watu wengi wamekuwa wakikimbilia ndoa kwa malengo yasiyo sa hihi..wapo wanaokimbilia ndoa sababu wanazeeka wapo wanaokimbilia ndoa sababu ya kumpata mtu mwenye pesa wapo wanaokimbilia ndoa sababu wamempata mtoto wa waziri fulani au ukoo fulani...ndugu zangu na wote wenye sababu zisizofaa napenda kuwajulisha ile ndoa mnayoikiri ni MALI ya MUNGU
Lolote utakalofanya juu ya ndoa ile unajibu kwa MUNGU na si kwa mpenzio wala mchungaji wa kanisa alilokufungisha..Biblia inasema si vyema mtu awe peke yake means tangu zamani inajulikana wewe kama wewe huwezi kwenda popote unaitaji msaaada zaidi ili uweze kukamilika
(EZEKIEL 4)
Hatay watoto wanaozaliwa si mali yenu kama mnavyofikiria watoto ni mali ya MUNGU..wengi wanajidanganya kulipa mahari ndio basi ashakuwa wako..no kulipa mahari si ku,ilikishwa wanandugu...Leo hii napenda kuwajulisha hata vile viuono vinavyotoa watoto vimefishwa na MUNGU
Kuna maswali utaulizwa kuhusu mwenzi wako iku ya mwisho ...najua wapo wanaoamua kurudi usiku kwenye ndoa wakijua wanawakomoa watu lakini nakujulisha matesoo yote unayompa mwenzio lazima utajibu siku ya mwisho
KUHUSU IBADA KAMILIFU
Wakati Adam akiwa peke yake ibada ilikuwa aijaanza.ndio maana wakati MUNGU alipotamka paka wakawapaka.,mende wakawa mende,mamba wakawa mamba,,alipomtoa eva mawasiliano rasmi na MUNGU yakaanza kuanzia hapo..ninyi mnaoolewa misuguano kwenye ndoa zenu mnaondoa ibada na MUNGU wenu
Mawasiliano ya pale nyumbani kwenu yanaenda moja kwa moja mbinguni,chumvi ikizidiunamweleza mwenzangu mbona leo imeongezeka na si ktupiana lawama na wengine kuanza kutwangwa mangumi/matusi ukiishi kwa mawasiliano bora hapo ibada ya mungu inaanza rasmi(EZEKIEL 18:4)
Lolote utakalofanya juu ya ndoa ile unajibu kwa MUNGU na si kwa mpenzio wala mchungaji wa kanisa alilokufungisha..Biblia inasema si vyema mtu awe peke yake means tangu zamani inajulikana wewe kama wewe huwezi kwenda popote unaitaji msaaada zaidi ili uweze kukamilika
(EZEKIEL 4)
Hatay watoto wanaozaliwa si mali yenu kama mnavyofikiria watoto ni mali ya MUNGU..wengi wanajidanganya kulipa mahari ndio basi ashakuwa wako..no kulipa mahari si ku,ilikishwa wanandugu...Leo hii napenda kuwajulisha hata vile viuono vinavyotoa watoto vimefishwa na MUNGU
Kuna maswali utaulizwa kuhusu mwenzi wako iku ya mwisho ...najua wapo wanaoamua kurudi usiku kwenye ndoa wakijua wanawakomoa watu lakini nakujulisha matesoo yote unayompa mwenzio lazima utajibu siku ya mwisho
KUHUSU IBADA KAMILIFU
Wakati Adam akiwa peke yake ibada ilikuwa aijaanza.ndio maana wakati MUNGU alipotamka paka wakawapaka.,mende wakawa mende,mamba wakawa mamba,,alipomtoa eva mawasiliano rasmi na MUNGU yakaanza kuanzia hapo..ninyi mnaoolewa misuguano kwenye ndoa zenu mnaondoa ibada na MUNGU wenu
Mawasiliano ya pale nyumbani kwenu yanaenda moja kwa moja mbinguni,chumvi ikizidiunamweleza mwenzangu mbona leo imeongezeka na si ktupiana lawama na wengine kuanza kutwangwa mangumi/matusi ukiishi kwa mawasiliano bora hapo ibada ya mungu inaanza rasmi(EZEKIEL 18:4)