Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 2,211
- 3,517
hi inapendeza kwa CCM kwasababu ndio watajua sasa kuwa wananchi wamewachoka
kazi kukamata watu wasio na hatia kisa wanawazidi hoja sasa unamkamata tundulisu kafanya nin mnamkamata heche kafanyanin sikuzote hoja inajibiwa na hoja ila wao CCM badala ya kubishana na hoja eti wanabishana na mtoa hoja .
Hii🤔 wamewezaje ?
Ujasiri wameutoa wapi?
TUNAELEKEA PAZURI HATA IKICHUKUA MIAKA MINGI.