Unajua kuwa ......

Unajua kuwa ......

ni kweli lakini inatia raha pale unapotoa na ukapokea
 
naamini yapo, japo kwa kiwango kidogo

Kuamini maana yake huna hakika

Ungekuwa na hakika usingesema unaamini bali unajua
Kujua kunaendana na ujuzi

Ujuzi unaweza kuelezeka kiushahidi

Sasa wewe unaamini basi endelea uamini hivyo!
 
Ukimpenda sio lazima nae anakupeda?

Ukiwa muaminifu huenda nae sio muaminifu?

Ukimjali huenda yeye hakujali?

Jisimamie na usifanye hayo kwasababu ya mtu mwingine bali kwasababu umejua kuwa ni kwa faida yako mwenyewe!

selfishness......vipi kuhusu tenda wema uende zako bila kutegemea malipo??ukitegemea malipo ndio utapata maumivu usipolipwa.
 
Yaani utoe tuuuuu No kupokea?
It's not healthy!
Nipe nikupe ndio mpango
 
....Na usiende kutangaza kwa watu ati " mimi na xxxx tunapendana sana" ama " xxx ananipenda sana", Moyo wa mtu hausemewi hata kidogo.
 
Ukimpenda sio lazima nae anakupeda?

Ukiwa muaminifu huenda nae sio muaminifu?

Ukimjali huenda yeye hakujali?

Jisimamie na usifanye hayo kwasababu ya mtu mwingine bali kwasababu umejua kuwa ni kwa faida yako mwenyewe!

Bin Adam Wa kawaida hawezi labda
 
selfishness......vipi kuhusu tenda wema uende zako bila kutegemea malipo??ukitegemea malipo ndio utapata maumivu usipolipwa.

Sijakuelewa!!!!!!!
 
....Na usiende kutangaza kwa watu ati " mimi na xxxx tunapendana sana" ama " xxx ananipenda sana", Moyo wa mtu hausemewi hata kidogo.

Kweli kabisa mkuu
Huwezi kujua kwa hakika

Kama huwezi kujua kujishughulisha kujua ni kupoteza muda!
 
Yaani utoe tuuuuu No kupokea?It's not healthy!Nipe nikupe ndio mpango
Hata neno la Mungu linatuhitaji kutoa na tunapotoa Mungu nae anarudisha kwa kutumiminia baraka zake....Inapendeza sana nipe nikupe...
 
Back
Top Bottom