Unajisikiaje unapo ogopwa?

Unajisikiaje unapo ogopwa?

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,263
Wakuu wasalaam,

Binadamu tumetofautiana kwa kila hali, kwa mfano mtu akiona anaogopwa na kila mtu yeye ndio furaha yake lakini mwingine lazima ajiulize kwanini naogopwa?

Bina hata mimi najisikia vibaya pindi napo ona naogopwa, takribani ni miaka miwili kuna watoto wa miaka 6 niliwaadhibu viboko mbele ya wazazi wao nia ilikuwa ni kuwaonya, Lakini mpaka sasa wakiniona lazima waniogope na wanakimbia licha ya kuwavuta na vijizawadi mbali mbali lakini wapi bado wananiogopa.

Binafsi najisikia vibaya na sipendi mtu aniogope.

JE WEWE UNAJISIKIAJE UNAPOOGOPWA?
 
Inategemea unaogopwa kwa lipi, kama unaogopwa kwa mabaya basi ni noma ila kama unaogopwa kwa mazuri hakuna neno. Nadhani wengi watakuwa wanapenda kuheshimiwa badala ya kuogopwa hasa kama wanaogopwa kwa mabaya.
 
mkuu inategemea unaogopwa na nani? kama naogopwa na vibaka na wezi ni poa sana
 
Kuogopwa kwa namna moja kunajenga heshima katika mazingira fulan, kwa hiyo hapo hakutakuwa na ubaya wala kukereka km mtu unaogopwa kwa hili, lakn km unaogopwa km kibaka basi inabidi urekebishe mapito yako ili jamii iwe nawe mana hakuna kitu chema km kuonekana unapendwa na watu wa rika zote wanaokuzunguka.
 
Wakuu wasalaam,

Binadamu tumetofautiana kwa kila hali, kwa mfano mtu akiona anaogopwa na kila mtu yeye ndio furaha yake lakini mwingine lazima ajiulize kwanini naogopwa?

Bina hata mimi najisikia vibaya pindi napo ona naogopwa, takribani ni miaka miwili kuna watoto wa miaka 6 niliwaadhibu viboko mbele ya wazazi wao nia ilikuwa ni kuwaonya, Lakini mpaka sasa wakiniona lazima waniogope na wanakimbia licha ya kuwavuta na vijizawadi mbali mbali lakini wapi bado wananiogopa.

Binafsi najisikia vibaya na sipendi mtu aniogope.

JE WEWE UNAJISIKIAJE UNAPOOGOPWA?
Kuogopwa noma!
Umekuwa tembo?
 
Mim nilikuwa naish jirani na kambi ya jeshi sa hawa jamaa walikuwa wakiniona wananiongopa na hata mda mwingine wakiniona wanakula chocho sikujua tatizo ni nini hadi naondoka maeneo hayo!
 
Mim nilikuwa naish jirani na kambi ya jeshi sa hawa jamaa walikuwa wakiniona wananiongopa na hata mda mwingine wakiniona wanakula chocho sikujua tatizo ni nini hadi naondoka maeneo hayo!

Asante kwa id yako inatosha
 
Dunia ya sasa hivi ni bora watu wakuogope. Watu wengine wanajua kuonea, wengine wanatake advantage ya mtu kuwa friendly. Mimi mwenyewe natamani sana watu wasionijua vizuri waniogope na kuniona ruthless.
 
Niliish sehemu nilikuwa naogopwa na majiran hadi na mwenye nyumba. Ikifika zamu yangu kununua umeme yani wote wanaogopa kuniambia kama ni zamu yangu. mwenye nyumba kodi yake utafikiri ananiomba hela! Hadi leo nashindwa kuelewa walikuwa wananionaje mimi, sijui walikuwa wanahisi mimi ni usalama!
 
Wakuu wasalaam,

Binadamu tumetofautiana kwa kila hali, kwa mfano mtu akiona anaogopwa na kila mtu yeye ndio furaha yake lakini mwingine lazima ajiulize kwanini naogopwa?

Bina hata mimi najisikia vibaya pindi napo ona naogopwa, takribani ni miaka miwili kuna watoto wa miaka 6 niliwaadhibu viboko mbele ya wazazi wao nia ilikuwa ni kuwaonya, Lakini mpaka sasa wakiniona lazima waniogope na wanakimbia licha ya kuwavuta na vijizawadi mbali mbali lakini wapi bado wananiogopa.

Binafsi najisikia vibaya na sipendi mtu aniogope.

JE WEWE UNAJISIKIAJE UNAPOOGOPWA?

Kama wewe ni mbeya, mzushi na mwongo ni lazima watu wakuogope kwa kuwa hawapendi kusutwa. Aidha, kama wewe ni mwizi na tapeli ni lazima uogopwe. Kama ukikopa fedha ya watu hurudishi ni lazima uogopwe. Otherwise kuna ya kuogopwa na kuheshimiwa.
 
Kuna kuogopwa kwa kuunga mkono mabaya na kuna kuogopwa kwa utoaji wako haki bila upendeleo. Sasa hapo itategemea unaogopwa kwa lipi.
 
Wakuu wasalaam,

Binadamu tumetofautiana kwa kila hali, kwa mfano mtu akiona anaogopwa na kila mtu yeye ndio furaha yake lakini mwingine lazima ajiulize kwanini naogopwa?

Bina hata mimi najisikia vibaya pindi napo ona naogopwa, takribani ni miaka miwili kuna watoto wa miaka 6 niliwaadhibu viboko mbele ya wazazi wao nia ilikuwa ni kuwaonya, Lakini mpaka sasa wakiniona lazima waniogope na wanakimbia licha ya kuwavuta na vijizawadi mbali mbali lakini wapi bado wananiogopa.

Binafsi najisikia vibaya na sipendi mtu aniogope.

JE WEWE UNAJISIKIAJE UNAPOOGOPWA?
mwanga lutila, unaweza kunipa maana ya jina lako?
 
Last edited by a moderator:
Kuogopwa kuna pande mbili...kwa wema (heshima) au ubaya...

Hivyo usijitape waogopwa kabla ya kujua chanzo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom