Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,526
Wakuu habari,
Katika mapenzi kunakuwa na utamu hasa pale penzi linapoanza ila penzi hilo huwa shubiri pale tu wawili hao wanapoachana.
Yawezekana ikawa kwa mwanamke kumuacha mwanaume ila maranyingi wanaume ndio wanaacha sana.
Pia kuna sababu nyingi tu zinazoweza kupelekea wapenzi hao kuachana na moja wapo ni uaminifu.
Sasa leo nataka kusikia kwa wanaume na wadada ambao waliowahi kupitia hayo.
Mimi binafsi sipendi kuonana na mpenzi wa zamani kwakuwa nakumbuka unyau aliyonifanyia.
Doncute
Katika mapenzi kunakuwa na utamu hasa pale penzi linapoanza ila penzi hilo huwa shubiri pale tu wawili hao wanapoachana.
Yawezekana ikawa kwa mwanamke kumuacha mwanaume ila maranyingi wanaume ndio wanaacha sana.
Pia kuna sababu nyingi tu zinazoweza kupelekea wapenzi hao kuachana na moja wapo ni uaminifu.
Sasa leo nataka kusikia kwa wanaume na wadada ambao waliowahi kupitia hayo.
Mimi binafsi sipendi kuonana na mpenzi wa zamani kwakuwa nakumbuka unyau aliyonifanyia.
Doncute