inaonekana uko partial virgin, hujajaza basi so experience za kuchitiwa na vitu vya ajabu hujazipata.
Maumivu yanazidi sana kutegemea na umechitiwa na nani.
Imagine unamkuta honey wako kamwinamisha mbuzi, hivi kweli mbuzi naye kakushinda nini? Au papai?
Anyway, on a serious note, inajalisha sana kacheat na nani, bora acheat na mtu mnaendana endana lol
wengine ukiwaza tu, kweli nashare na Mwaju? Apetite inapotea miaka 50.
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
Kongosho umeua sana! Yan meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Hahahahahahahahahahahahaha
hapa kweli lazima mwanamke ajihisi takataka!
Dark City, hebu kuja pande hii!
Huwa unasema matatizo ya kuhusiana washirikishwe wazazi. Naona kama matatizo ya siku hizi yana tofauti na ya enzi zako na bibi DC! Sasa vijana wanataka na mwanaume 'ajishughulishe', ushaona hii? Hata wanaume nao wanakuwaga 'hawanogi'. Kuishi ni kujifunza, muulize Bibi akufanyie assessment, sio wewe kila siku unasahihisha mitihani, ufanyege na wewe QT
unafumania text au piicha ambazo mpenzi wako amepiga na mwanamke mwingine katika kudodosa unagundua ni kweli anatembea naye ukimuangalia na wewe tofauti ukiongozana naye wewe ndo mkali unajisikiaje au unafanyaje .kwa upande wangu namdharau mwanaume na huyo mwanamke halafu nawapotezea we unafanyaje halafu ye anaona kapataaaa....
dah!na yule ambaye ameoa kabsa huyo pretty lady inakuwaje
unafumania text au piicha ambazo mpenzi wako amepiga na mwanamke mwingine katika kudodosa unagundua ni kweli anatembea naye ukimuangalia na wewe tofauti ukiongozana naye wewe ndo mkali unajisikiaje au unafanyaje .kwa upande wangu namdharau mwanaume na huyo mwanamke halafu nawapotezea we unafanyaje halafu ye anaona kapataaaa....
uzuri my foot..... watu wanaangalia yaliyomo kama yamo, wewe unakomalia uzuri ambao pengine hata housegirl kakuacha kwa points kadhaa
Mhu! Nzur wa mwanamke sio sura au umbo tu ,,japo katenda wrong huyo mjemba,! Ila dada kama wanawake wanapendwa kwa uzur wao wa muonekano ,,basi ingelikuwa hatuna share ktk huu ulimwengu ,, pengine huyo mwenzako oky sio mzur kama Ww ila anatabia jaamaa zmemvutia! So make sure yu add more effort to rescure yr love again ,,
Ohoo kumbe nyie mnajiangalia sura na maumbile shauri zenu mwenzako anaweza kua mtundu zaidi yako kwenye 6 kwa 6
Da nimecheka sana ukimkuta na kamuinamisha mbuzi au kabaka kuku cwez hata kuelezea....kwani atamkomoa nani
na yule ambaye ameoa kabsa huyo pretty lady inakuwaje