Chimama
Member
- Jan 4, 2012
- 43
- 13
Members mnaoishi Kigamboni naomba tusaidiane/ tushauriane jinsi ya kuboresha huduma za vivuko vyetu hasa upande wa taarifa. Leo asubuhi, kivuko kidogo cha Mv Kigamboni kilikuwa kimepark na Mv Magogoni ndio ilikuwa inafanya kazi hivyo kusababisha foleni kubwa sana ya magari na msongamano wa watu. Average waiting time kwa magari ilikuwa 2hrs (labda kama ulipita kwa wajeshi then 1hr)..muda mwingi sana kupoteza kwenye foleni hasa asubuhi.
Nilikuwa naona kungekuwa na bando la matangazo where wangekuwa wanatuwekea hizo updates...kama leo vyote havifanyi kazi au vinafanya etc ili watu waamue kuzunguka au kusubiri. Pia wanaweka kutangaza kwenye radio kama traffic wafanyavyo kuhusu road congestions. Well hayo ni yangu, nawasilisha.
Nilikuwa naona kungekuwa na bando la matangazo where wangekuwa wanatuwekea hizo updates...kama leo vyote havifanyi kazi au vinafanya etc ili watu waamue kuzunguka au kusubiri. Pia wanaweka kutangaza kwenye radio kama traffic wafanyavyo kuhusu road congestions. Well hayo ni yangu, nawasilisha.