Unaikumbuka hii Meli...?
Wenyewe walikuwa wanaihita "Desemba Twaja"
leo wapi tumekwisha, zikisha kupita siku hazirudi nyuma siku zapita.
Wakuu hii ni MV Muungano?
Naam MV. Mapinduzi, Viumbe (Tembo) vimekosa matunzo unashukuru!? Kama unashindwa kuwaonea huruma wanyama utaweza vipi kuwaonea huruma binadamu wenzio?Msianze tena hiyo ni MV Mapinduzi hii ni mali ya ZANZIBAR pekeyake na ilipoletwa wakati ikiwa mpya tuliletewa na zawadi ya Tembo wawili wakiwa Ndani yake kwa bahati nzuri wakawekwa pale vetinari maruhubi mwisho wakafilia mbalini Thank GOD for that.
Naam MV. Mapinduzi, Viumbe (Tembo) vimekosa matunzo unashukuru!? Kama unashindwa kuwaonea huruma wanyama utaweza vipi kuwaonea huruma binadamu wenzio?
Hivi kuna mnyama katili zaidi ya binadamu?
Naam MV. Mapinduzi, Viumbe (Tembo) vimekosa matunzo unashukuru!? Kama unashindwa kuwaonea huruma wanyama utaweza vipi kuwaonea huruma binadamu wenzio?
Mkuu ipo mnadani kama kachara ie scrapHii meli sina uhakika kwa kweli kama bado ipo hai[/CENTER]