Nakumbuka pale Magomeni Makurumla ndiyo ilikuwa ni Ghala la vitabu kwa shule za Kinondoni, vikiisha mnakwenda kuchukua. Mwalimu aliwahi kusema hakuna elimu ya Bure. Lakini ki ukweli yule mzee aliwekeza sana kwenye Elimu!hapa na kumbu shule ya msingi maana ticha wa hili somo alikuwa mnoko balaaa
picha hii ilikuwa kwenye shahiri: Sizitaki Mbichi Hizi. Kiswahili Darasa la tatu,wakati huo elimu ni elimu kweli. Siku hizi tunatafuta utambulisho tu,eti wanafunzi wasitili viwiliwili vyao,waepushe matamanio...tuweke misalaba kwenye madarasa ili watoto wetu wakue ki-imani...haya yanasaidia nini lakini wakati mitoto inakuwa mijinga tu?
Noo way, tell me you're kidding bana!Duh!kwakweli sasa hivi hali ni mbaya sana ndugu..yaani kuna form one hawajui kusoma wala kuandika..inasikitisha..hii kitu nilishuudia mwenyewe kwenye shule moja huko magu.
Noo way, tell me you're kidding bana!Duh!
Noo way, tell me you're kidding bana!Duh!
mkuu nimesoma makurumla p/sNakumbuka pale Magomeni Makurumla ndiyo ilikuwa ni Ghala la vitabu kwa shule za Kinondoni, vikiisha mnakwenda kuchukua. Mwalimu aliwahi kusema hakuna elimu ya Bure. Lakini ki ukweli yule mzee aliwekeza sana kwenye Elimu!