Unaijua shule hii....!!!

Unaijua shule hii....!!!

NAPITA

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
5,077
Reaction score
2,248
ubao.jpg
 
Sorry nimekosea ni mwisenge sio kamunyonge...nimechanganya...nimetoka kitambo ila shule naijua ilipo kama unaelekea majita karibu na ile hotel nzuri sana ya musoma.

kwani nyerere alisoma kamnyonge? Kwa kumbukumbu zangu nakumbuka kama niliwai kusoma sehemu flani ikisema ni mwisenge primary!
 
Sorry nimekosea ni mwisenge sio kamunyonge...nimechanganya...nimetoka kitambo ila shule naijua ilipo kama unaelekea majita karibu na ile hotel nzuri sana ya musoma.

Usipende kusema usiyoyajua,si kweli kwamba kama unaelekea majita ndo utakutana na mwisenge primary,but ni kweli ipo karibu na musoma hotel & pennusla hotel.
 
Hiyo shule inaitwa mtajijua pr school ipo mabwepande.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom