Unaijua Nchi ya Iceland? Ijue Hapa

Unaijua Nchi ya Iceland? Ijue Hapa

FM facts

Member
Joined
Mar 16, 2019
Posts
45
Reaction score
88
Je Unaijua Nchi hii ya Iceland? Karibu Uijue Hapa Kupitia #FMfacts!.

1. Iceland ni Nchi inayopatikana Barani Ulaya, Idadi ya Watu Nchini Humo inafika 340,000. Iceland Hakuna Mbu wala Nyoka!.

2. Bunge la Iceland ndilo Bunge Kongwe Zaidi Duniani, Lilianza Tangu Mwaka ya 930!.

3. Nchini Iceland Kuna Mikoa 8 tuu, Lakini Zaidi ya Asilimia 60% ya Watu Wote Nchini humo Wanaishi Katika Mkoa Mmoja wa Reykjavík Kaskazini mwa Nchi hiyo, na 40% Wanaishi Katika Mikoa 7 Iliyobaki.

6. Nchini Iceland Hakuna Jeshi, Askari Hawatumii Silaha za Moto kama Bunduki N.K, Rekodi ya Matukio ya Uharifu ni Ndogo sana Nchini Humo, Ni Mtu Mmoja tuu Aliyewahi Pigwa Risasi na Askari Katika Historia ya Nchi hiyo.

7. Katika Mji wa Reykjavík Kuna Makumbusho Ambayo Kunapatikna Sanamu za Uume wa Wanyama Mbalimbali Ukiwemo Uume wa Binadamu.

8. Nchini Iceland Hakuna Usafiri wa Treni, Hakuna Reli Nchini Humo.


20190404_053327.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ongeza nyama basi Mkuu maana ninandto za kwenda kuishi huko[AQUOTE="FM facts, post: 30996449, member: 543353"]
Je Unaijua Nchi hii ya Iceland? Karibu Uijue Hapa Kupitia #FMfacts!.
1. Iceland ni Nchi inayopatikana Barani Ulaya, Idadi ya Watu Nchini Humo inafika 340,000. Iceland Hakuna Mbu wala Nyoka!.
2. Bunge la Iceland ndilo Bunge Kongwe Zaidi Duniani, Lilianza Tangu Mwaka ya 930!.
3. Nchini Iceland Kuna Mikoa 8 tuu, Lakini Zaidi ya Asilimia 60% ya Watu Wote Nchini humo Wanaishi Katika Mkoa Mmoja wa Reykjavík Kaskazini mwa Nchi hiyo, na 40% Wanaishi Katika Mikoa 7 Iliyobaki.
6. Nchini Iceland Hakuna Jeshi, Askari Hawatumii Silaha za Moto kama Bunduki N.K, Rekodi ya Matukio ya Uharifu ni Ndogo sana Nchini Humo, Ni Mtu Mmoja tuu Aliyewahi Pigwa Risasi na Askari Katika Historia ya Nchi hiyo.
7. Katika Mji wa Reykjavík Kuna Makumbusho Ambayo Kunapatikna Sanamu za Uume wa Wanyama Mbalimbali Ukiwemo Uume wa Binadamu.
8. Nchini Iceland Hakuna Usafiri wa Treni, Hakuna Reli Nchini Humo.
View attachment 1063232
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 
Ni mahali pazuri pa kuishi kwa sisi wapenda amani ya kweli.
 
Back
Top Bottom