bodi ya mikopo inahitaji kushughulikiwa. halafu wanachelewesha sana malipo kwa wanafunzi, wanafunzi wanajiuza mno dodoma pale na hapa dsm, hawana kitu na hawana namna. mnataka hao watoto wafe kabla hata shule hawajamaliza? kama hela hamna si mmwambie Rais atangaze tu kwamba hela za mikopo hakuna?