Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,435
- 5,404
Habari za wakati huu wakurugenzi;
Kwa wale ambao wako na Pesa lakini wanatafuta pa kuziwekeza.Unahitajika Mkopo wa Kibiashara.Kiasi cha mkopo unaohitajika ni Milioni 60.
Dhamana ya Mkopo ni kama ifuatavyo:
Unaweza kutoa mkopo wote au mkopo wa kundi mojawapo. katia ya makundi hayo manne.
Zingatia huu ni mkopo wa kibiashara.
Vile vile anahitaji mtu ambaye anaweza kukodishia magari au guta ambazo zitakuwa customized kwa ajili ya kazi maalum kwa mkataba wa HIRE PURCHASE/au lease itategemea makubaliano.Zinahitajia 6.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa email: masokotz@yahoo.com
Kwa wale ambao wako na Pesa lakini wanatafuta pa kuziwekeza.Unahitajika Mkopo wa Kibiashara.Kiasi cha mkopo unaohitajika ni Milioni 60.
Dhamana ya Mkopo ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha 30% ya Mkopo kitadhaminiwa na Kiwanjja kilichoko Hai Kilimanjaro)Hakina Title
- Kiasi cha 30% nyingie itadhaminiwa na kiwanja kilichopo Mkoa wa Arusha.Hakina Title
- Kiasi cha 20% kitadhaminiwa na Fixed Deposit Account
- Kiasi cha 20% kitadhaminiwa na Hisa za Kampuni binafsi/Kadi ya gari)
Unaweza kutoa mkopo wote au mkopo wa kundi mojawapo. katia ya makundi hayo manne.
Zingatia huu ni mkopo wa kibiashara.
Vile vile anahitaji mtu ambaye anaweza kukodishia magari au guta ambazo zitakuwa customized kwa ajili ya kazi maalum kwa mkataba wa HIRE PURCHASE/au lease itategemea makubaliano.Zinahitajia 6.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa email: masokotz@yahoo.com