1. Shock up za mbele na nyuma za Benz 202
2. Exhaust ya Benz 202
3. Bumber la mbele Benz 202
4. Taa ya kulia complete 202 Benz
5. Inside mirror Brake light ya ndani Benz 202
Kabisa rafiki.Mkuu vyote hivyo vinaenda kuwekwa kwenye gari kwa wakati mmoja?
Inaitwa fender mirror na si baby mirrorMkuu hiki kioo kidogo (baby mirror) cha Harrier naweza kipata? Bei yake ni ngapi?View attachment 1127469
Mkuu hiki kioo kidogo (baby mirror) cha Harrier naweza kipata? Bei yake ni ngapi?View attachment 1127469
Shockup za mbele za Toyota raum old model ya mwaka 2001 ni Bei gani.Ipo mkuu 150,000
Engine na gear box ya X-trail manual shi ngapi?
Shockup za mbele za Toyota raum old model ya mwaka 2001 ni Bei gani.
Me sijui kusoma chassis number ningekutumia unisaidie kunipa vifaa ambavyo ni compatible.
Habari, shock up complete na coil za harrier old , mbele na nyuma..bei gani? Kwa mpya(taja brand) na used.Used complete pamoja na coil yake ni 90000 kwa moja
Inatumia engine gani
Nipe bei ya hivi vyote na gari ni Starlet E4Salaam ndugu zangu,kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?
Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.
Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .
Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807
Sent using Jamii Forums mobile app
NATAFUTA MLANGO STARLET WA ABIRIA KUSHOTO NYUMASalaam ndugu zangu,kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?
Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.
Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .
Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uwezekano wa kupata spea za gari aina ya Honda crv Toleo LA kwanza kabisa