Kifimbocheza
JF-Expert Member
- Aug 7, 2008
- 494
- 121
sasa ww muuzaji weka namba yako ya cmu ili tukutafute
Narudia weka namba yako ya cmu tukutafute
Narudia weka namba yako ya cmu tukutafute
Maongezi yapo
MUWE MAKINI mtalizwa sasa hivi hayo maeneo watu walishalipwa fidia
Kwani kila anaeingia humu JF ni mwizi na tapeli,inamaana bagamoyo yote ishalipiwa fidia,hivyo wenyeji wake wahame??si ni vema utumie hekima unapotoa hoja zako????Mbeshere asante kwa Taarifa! Huyu muuzaji analazimisha sana kuuza utafikiri hilo shamba kalibeba kichwani na mzigo umemlemea
mbona unauza bei rahisi sana?Wakuu shamba ni zuri sana,lina mikorosho na miembe,ni tambarare,hakuna hata kichuguu.