Mamboz?
Kwa kuzingatia hali halisi ya maisha ya watanzania yani uchumi ulivo na vipato vya watu je ni vitu gani mtu ukii-import from Marekani utapata soko hapa dar bila shida yoyote? either used or brand new
Usijisumbue mkuu. Niliuliza huko nyuma the same question na nikaambiwa bongo siku hizi kuna kila kitu.
Usijisumbue mkuu. Niliuliza huko nyuma the same question na nikaambiwa bongo siku hizi kuna kila kitu.
kwamba bongo kuna viwanda vya kutengeneza kila kitu?Usijisumbue mkuu. Niliuliza huko nyuma the same question na nikaambiwa bongo siku hizi kuna kila kitu.
nadhani ni nguo za kiume na viatu ila tafuta mavazi ya mayankee, sio suits (those are better from france and italy). nguo nguo zile za gansta rappers. na wadada waletee weaves na human hairs nzuri. Cosmetics for black skins etc. pia leta mac products kama laptops, iPods, iPads, iPhones na accessories zake. sasa chagua mwenyewe field moja utaspecialise.
Usijisumbue mkuu. Niliuliza huko nyuma the same question na nikaambiwa bongo siku hizi kuna kila kitu.
Kwa hilo sina uhakika, Husninyo, lakini nimehabarishwa na kutahadharishwa kuwa bongo siku hizi kuna kila kitu, so nisijisumbue kuleta chochote !kwamba bongo kuna viwanda vya kutengeneza kila kitu?
lete mtambo wa kuchakachua utapiga sana diliMamboz? Kwa kuzingatia hali halisi ya maisha ya watanzania yani uchumi ulivo na vipato vya watu je ni vitu gani mtu ukii-import from Marekani utapata soko hapa dar bila shida yoyote? either used or brand new
yeah ipo mpaka pedi za kuchakachua zipo kibao walikamata mtambo wake juzi katikwamba bongo kuna viwanda vya kutengeneza kila kitu?
mwanangu leta vitu vingi tu na peleka kule arusha na mwanza au dodoma utapata wateja kwa bei safi ila ukipeleka dar ni kweli kila kitu kipo pale sijui utaleta nini kipya ambacho hakipo, ila mi natafuta used ps3 console iwe na kila kitu chake bei isizidi $300 ni pm kama unakuja nayo
Ngoja nijaribu ukiwa na akili za hivo hutakuja fanya kitu maishani.This is nt the first time am doing trading na nimeshawai kukatishwa tamaa hivyohivyo bt nikapeta
kuwa Mmoja wa washindani leta vitu kitu kinacho hitajika ni ubora tu sema vitu vingi vya Bongo vinatatizo la ubora japo kua kuna vitu kibao tu.
Amigo, kwa hiyo una-suggest kuwa vitu vingi vilivyopo bongo ni mafeki? TBS haivikagui?
mwanangu leta vitu vingi tu na peleka kule arusha na mwanza au dodoma utapata wateja kwa bei safi ila ukipeleka dar ni kweli kila kitu kipo pale sijui utaleta nini kipya ambacho hakipo, ila mi natafuta used ps3 console iwe na kila kitu chake bei isizidi $300 ni pm kama unakuja nayo
mwanangu leta vitu vingi tu na peleka kule arusha na mwanza au dodoma utapata wateja kwa bei safi ila ukipeleka dar ni kweli kila kitu kipo pale sijui utaleta nini kipya ambacho hakipo, ila mi natafuta used ps3 console iwe na kila kitu chake bei isizidi $300 ni pm kama unakuja nayo