Unahitaji kununua kampuni yenye ukomo? Karibu

Unahitaji kununua kampuni yenye ukomo? Karibu

biasharaTz

Senior Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
163
Reaction score
79
Habari za leo!
Salama wakuu humu ndani?
Nauza kampuni yenye ukomo iliyosajiliwa mwaka jana na inafanya kazi vema kabisa. Inauzwa kwa sababu ya asili ya kazi inazofanya hauwezi kusajili NBAA kama kampuni yenye ukomo ie limited company! Hivyo basi imebidi kusajili ushirikiano kukidhi vigezo.
Miongoni mwa sifa zake
1. Ni kampuni yenye ukomo inayofanya kazi zake kama kawaida na ina usajili sehemu zote km vl BRELA, TRA na Manispaa na pia ina benki akaunt yenye mzunguko mzuri.
2. Madeni: Inadaiwa sh 100,000 tu ya kodi ya mwaka huu awamu ya nne kwn awamu tatu zote zimeshalipwa
3. Leseni: Ipo valid mpaka tarehe 20.12.2019
4. Mkataba wa pango upo valid mpaka 30.05.2019
5. VAT ipo ktk hatua za mwisho kupata
6. Mahali ilipo ofisi ni Dar es Salaam
7. Bei: Inategemea unataka wamiliki watoke na mafaili yao tu au ununue kampuni ktk fomu ya documents tu

Karibu PM tuyajenge
 
Vip man kampuni
Habari za leo!
Salama wakuu humu ndani?
Nauza kampuni yenye ukomo iliyosajiliwa mwaka jana na inafanya kazi vema kabisa. Inauzwa kwa sababu ya asili ya kazi inazofanya hauwezi kusajili NBAA kama kampuni yenye ukomo ie limited company! Hivyo basi imebidi kusajili ushirikiano kukidhi vigezo.
Miongoni mwa sifa zake
1. Ni kampuni yenye ukomo inayofanya kazi zake kama kawaida na ina usajili sehemu zote km vl BRELA, TRA na Manispaa na pia ina benki akaunt yenye mzunguko mzuri.
2. Madeni: Inadaiwa sh 100,000 tu ya kodi ya mwaka huu awamu ya nne kwn awamu tatu zote zimeshalipwa
3. Leseni: Ipo valid mpaka tarehe 20.12.2019
4. Mkataba wa pango upo valid mpaka 30.05.2019
5. VAT ipo ktk hatua za mwisho kupata
6. Mahali ilipo ofisi ni Dar es Salaam
7. Bei: Inategemea unataka wamiliki watoke na mafaili yao tu au ununue kampuni ktk fomu ya documents tu

Karibu PM tuyajenge
Vipi kaka kampuni inayojishughlisha na nin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeweka details za kampuni zaidi na hapo ninyaleyale ya wizi na kupigwa.
 
Details zipi mkuu wataka? Karibu PM si kila mtu ni tapeli. Kununnua kampuni kama mnakubaliana si utachukua details za muhimu nenda BRELA ambapo kwa ss ukiingia tu ktk ORS unapata details zote na TRA unapata unachotaka. Then utamaliza na benki kujiridhisha zaidi
Ungeweka details za kampuni zaidi na hapo ninyaleyale ya wizi na kupigwa.
 
Kampuni hii vlvl waweza kubadilisha biashara kadiri utakavyo kutokana na MEMARTS. kuna biashara nyingi sana zilizoainisha humo kama transport, logistics, clearing and forwarding, ujenzi, umeme, supermarkets, kilimo, kiwanda chochote utakacgo kuanzisha et al. So sio lazima uendelee na biashara hii kama unaona huna utaalam wa biashara iliyopo
 
Back
Top Bottom