mfwimijr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 203
- 152
Kama wewe ni mmiliki au moja ya wamiliki wa kampuni zinazotoa huduma kama mtoa huduma (Supplier or service provider) na unapata changamoto katika kuandaa vitabu vya zabuni (tender documents) zenye viwango vinavyohitajika, baso ondoa shaka suluhisho limepatikana. KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED Tunaandaa vitabu vya tender aina zote na kwa wakati. Pia tunawasaidia wateja kuwapa ushauri juu ya usimamizi na uendeshaji wa miradi, pia mteja tunakusaidia na kukuunganisha na wabia wetu kuandaliwa mizania ya hesabu za mwaka.
Tupo Dsm, mikoani tuna wawakilishi pia.
+255 676 404 393
"Fahari yetu ni kutoa huduma yenye ubora"
Tupo Dsm, mikoani tuna wawakilishi pia.
+255 676 404 393
"Fahari yetu ni kutoa huduma yenye ubora"