vyuku
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 503
- 85
Katika rasimu ya katiba mpya kuna kipengele cha mawaziri na manaibu mawaziri baada ya kuchaguliwa na Mh Rais wakathibitishwe na bunge,hii yaweza ikaondosha Rais kuwachagua marafiki na watu wake waliokuwa hawawezi uongozi kupungua??maana ktk katiba ya sasa rais akichagua huna uwezo wa kuhoji lolote lile,ht km mtu aliemchagua anajulikana kwa utendaji wake mbovu na ubadhirifu wa mali ya umma.