The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,159
- 51,092
Jibu gani hilo?We bhana,kuna jibu ulinipa siku moja lilinikatisha tamaa mazima
Jibu gani hilo?We bhana,kuna jibu ulinipa siku moja lilinikatisha tamaa mazima
Samia yule ni mzanzibar, shauri yenuSisi hatuna baya na hawa warembo wetu maana wanatupatia utelezi
Akizungumzia suala la idadi ya wanawake kuwa wengi kuliko wanaume mama Samia aliwaambia wanawake wazichukulie changamoto kama fursa. Sijui alimaanisha nini bimkubwa Samia?
Mimi nimekusamehe kabisa tena bila kinyongo ingawaje umefanya wanajf waniwekee vikao vya dharuraSina hakika kama kuna mtu niliwahi mkwaza ingawa nishatibuana na watu humu ila wao ndio huwa wananianza. Kama kuna ambae niliwahi mkosea bila kujua naomba anisamehe.
Nimelisahau nami piaJibu gani hilo?
Safi kama mmesame...tuendelee kuishi kwa amani humu cyberspaceMimi nimekusamehe kabisa tena bila kinyongo ingawaje umefanya wanajf waniwekee vikao vya dharura
Nimesamehe, nimekusamehe kipenzi, kipenzi cha mzabzab
Kama huna mi nauza ma bifu kwa bei sawa na bure..Kwahiyo tusio na bifu na MTU humu tujiite angels
Ha ha haa,mkorofiKama huna mi nauza ma bifu kwa bei sawa na bure..
Na kama unayo pia mi nanunua
Kesi gani? Tulishawahi kuwa na kesi? Lini? Ilikua inahusu nini? And why? Huyo mod x ni yupi? Alisuluhishia wapi? Unauhakika ni mimi?Umemfanya nini binti ya watu?
Kesi yangu na financial services ilisuluhishwa na mod "x" humu. Sijui kama alini unblock au lah, lakini ilikuwa tifu sio poa
Sijui kama ataelewa,umemchanganyia balaaKesi gani? Tulishawahi kuwa na kesi? Lini? Ilikua inahusu nini? And why? Huyo mod x ni yupi? Alusuluhishia wapi? Unauhakika ni mimi?
Ndio financial servicesKesi gani? Tulishawahi kuwa na kesi? Lini? Ilikua inahusu nini? And why? Huyo mod x ni yupi? Alusuluhishia wapi? Unauhakika ni mimi?
Na kweli JamiiForums pasipo tafalani yafaa nini? Sema ni kwa vile majukwaa mengine tuko fair sana, kuna wale watu wa siasa, ni mwendo wa matusi, mabifu na ban kila kukichaNgoma bado nzitoo hakuna kupatana ni mwendo wa vitasa tu.
Na ugomvi mpya tumeungundua unakuja kwa jina ka NDOIGE ugomvi huu unaingilika kila nyuzi kwa kuwakeraaa watoa thread na kuwatoa povu wanaoreply hovyo hovyo.
Hakuna kupoa JF ikitulia watu mkapatana basi inakuwa haina maana wandugu lazimaa tugombane kweeliii kweeeeliiiii, naandika haya nikiwa na uhakika wa kwenda kukiwasha kule jukwaa lilee...
Nauliza mitandao bila kubondana yafaa nini??
Msipatane bhana,
Ugomvi for everiiii badee
Nishamuelewa, kesi ile ilikuwa inachochewa kwenye uzi inaenda kuzimikia PM, kwa bahati mbaya ikiwakia PM, kwenye uzi panakuwa hapatoshi Dada wa watu akaamua kutoa laana kabisaSijui kama ataelewa,umemchanganyia balaa
nakuelewa vizuri sanaKuna kipindi niko first year pale Mabibo Hostel, nikanunua mihogo ya buku nikaweka kwenye kimfuko nikachili pale uwanjani, ghafla mpenzi wangu anaenipenda kwa dhati ndipo kufika, nayeye alikuwa first year mwenzangu! Tukaanza kulishana mihogo
Ghafla bin vuu, taxi x ikatinga karibu na sisi na kupiga honi! Mtoto akaniacha pale nilipokuwa na mihogo yangu akaingia ndanj ya gari la sponsor wakaondoka. Tokea hapo nikaamini mchawi pesa
Akawa ananipigia simu, mwenzie sipokei!.Nakumbuka siku moja kaja kukaa karibu na mimi mle Theater One kwenye lecture, akanipitishia kibunda cha Tsh 300k na kuniwekea kwenye kibegi uchwara nilichokuwa nacho! Nilitamani kumpiga denda pale pale
Ha ha haNishamuelewa, kesi ile ilikuwa inachochewa kwenye uzi inaenda kuzimikia PM, kwa bahati mbaya ikiwakia PM, kwenye uzi panakuwa hapatoshi Dada wa watu akaamua kutoa laana kabisa
Basi wewe ni mwamba yaani uniwakie hadi nihitaji kukublock😬, hongera sana ulishinda hiyo tuzo. Ila huoni kama nilivyokukosoa nimekusaidia now unaandika vizuri? Elimu haina mwisho tunajifunza kila siku hata kama ni mzee.Ndio financial services
Nimejaribu kuukumbuka uzi nimeshindwa
Kuna yule dada niliyemquote matamshi nikawa nimechanganya r na l, ukawa unanitolea povu kimafumbo nikakuwakia, ukasema umetupa jiwe gizani. Mwisho wa siku ukasema unatafuta mtu akufundishe kublock mtu
Mbona ilitrend sana, na wakina Smart AJ walikuwa wanaweka comments za emoji za kuvunjika mbavu
Nahisi ilikuwa kati ya mwezi May na Aug
Umekumbuka sasa?