Unafikiri hawa wazee wameuza nini?

Unafikiri hawa wazee wameuza nini?

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,392
Reaction score
7,863
Unafikiri hawa wazee wameuza nini?
FB_IMG_1607616657829.jpg
 
Kuna mtu hajaridhika, yuko kwa mbaaali.
Sio kwamba hajaridhika, ni kwamba suala linaloendelea linawahusu wanaume peke yao.
Yeye ni mtu wa kufahamishwa tu hana la kuchangia

Ukiangalia vizuri utagundua kuna binti anauzwa na bei ishafikiwa ndio jamaa wametumwa kulipa then binti achukuliwe aende kwao jamaa kuhudumia. Biashara ya kuuza binadamu iliyoboreshwa hii.
 
Back
Top Bottom